Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ππππchadema wanataka kumchonganisha mama na wamasai wallah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππchadema wanataka kumchonganisha mama na wamasai wallah
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Binoculars dash!View attachment 3077375
Bila shaka nchi Ina amani tele!
Rais asiyekuwa na huruma kwa raia anaowaongoza, yaani karejesha huduma za kijamii kwa sababu tu ya uchaguzi ili asikose kura?Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Soma Pia:
- Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyangβanywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
- Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo
Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
HaswaaaKichwa cha habari cha gazeti kilipaswa kuwa, wamasai wafanikiwa kumshinda Samia, mama asalimu amri kwa aibu!
Huu uongozi haujui unataka kufanya nini wanaangalia tu upepo unakwenda wapi, leo wanaamua hivi kesho vile.Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Soma Pia:
- Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyangβanywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
- Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo
Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kurejeshwa kwa huduma za kijamii ikiwemo za elimu na afya zilizokuwa zimesitishwa katika Tarafa ya Ngorongoro.
Hayo yamesemwa leo Ijumaa Agosti 23, 2024 na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri (Sera, Bunge na Uratibu), William Lukuvi akizungumza na wananchi wa kata 11 zilizopo Tarafa ya Ngorongoro, akiwasilisha maagizo ya Rais aliyewatuma kuwasilikiza wananchi hao waliokuwa wamekusanyika na kukesha kwa siku 5 wakitaka kujua hatima ya malalamiko yao.
Soma Pia:
- Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyangβanywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
- Njama: Vituo vyote vya kupigia kura Jimbo la Ngorongoro vimefutwa, ila watu bado wapo na Jimbo bado lipo
Aidha amesema Rais ameagiza uchaguzi katika tarafa hiyo kwa kutumia mipaka ya zamani, ufanyike kama unavyofanyika maeneo mengine nchini.
Ni nani ali ziondoa??Wamasai safiiiiiii
Wamasai oyeeeee
Wamasai wapewe maua yao
Wamasai wamezibua masikio ya Chura kiziwi
Ukiona mpaka Ikulu imesanda ujue WAMASAI SIO WATU WA MCHEZOMCHEZO au Mpechempeche hahhahahahhaha
samia kasanda
Ccm acheni kucheza na maisha ya Watanzania.msikubali, ni kuwaweka sawa baadaye awatimue. Alifikiri nini wakati ana jenga wazo la kuwafurusha? Huyo ni Muongo!
Hizo drama mnazozifanya ni kwa faida ya nani?chadema wanataka kumchonganisha mama na wamasai wallah
Ili takuna chokochoko wanazipandikiza
Na nisababu gani iliyopelekea hayo kabla ?Mmepiga kelele huduma zimerejeshwa shida nini tena, mbona hamridhiki /nyie chadema au mnaona "MTAKOSA JAMBO LA KUPIGA NALO KELELE ππππππ
Anajichonganisha mwenyewe na washauri wakechadema wanataka kumchonganisha mama na wamasai wallah
Niliposikia eti Samia anawapenda sana nimecheka sanaIla wanasiasa ni janga la dunia. Eti "Rais Samia anawapenda sana".
Wamasai kubalini huduma zirudi lakini msije kujiponza kumpongeza mtu kwa kuwa hiyo sio hisani ni haki yenu. Msimamo ni ule ule hakuna kuondoka kwenye ardhi yenu.