Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ukweli ni kwamba kila nafsi itaonya mauti lakini kuna watu wakitangulia, kamwe siwezi kusikititika na mmojawapo ni mtoto wa huyu Mama kwani nitafurahi na yeye aonje uchungu wa kuzika wapendwa wake.
Augue au vinginenyo, sitojali na kifo chake tutakiita ni "drama " tu kama walivyoona wengine kutekwa na kupotezwa au kuuwawa ni drama.
Mungu walaani hawa watu wao na vizazi vyao.
Naelewa aiseee naelewa sana Ndugu yanguUkweli ni kwamba kila nafsi itaonya mauti lakini kuna watu wakitangulia, kamwe siwezi kusikititika na mmojawapo ni mtoto wa huyu Mama kwani nitafurahi na yeye aonje uchungu wa kuzika wapendwa wake.
Augue au vinginenyo, sitojali na kifo chake tutakiita ni "drama " tu kama walivyoona wengine kutekwa na kupotezwa au kuuwawa ni drama.
Mungu walaani hawa watu wao na vizazi vyao.
Wakijua, wanajua ni polisi ni usalama wa Taifa waliofanya hiyo operation watawakingia kifua watu wao siku zote.Tuanataka ripoti ya ukweli na si FUTUHI ,damu ya mtu haiwezi kupotea ,tunapoenda ni hatari sana kama vitendo kama hivi havijadhibitiwa.
Navyoelewa pale MJAPANI COMPLEX au TEGETA CPOMPLEX Kuna Camera ,lile bus lazima litakuwa na Camera ,achunguzwe abiria aliyepanda mwanzoni wa safari na aliyeshuka na watekaji ,achunguzwe abiria aliyetaka kupanda bus hapo MJAPAN Complex.
Wachunguzi wachukue Site Cells Dumps ya namba ya simu zilizokuwa mwanzo wa safari ya bus ,kisha wachukue Cells site Dumps za sites za Tegeta baada ya kusimamishwa ,then wa VLOOKUP kupata namba zilizokuwa TEGETA ambazo zilitoka mwanzo wa safari....Then baada ya kuondoka Bus na hao WATEKAJI ,wachunguzi wachukue Dump nyingine ya cells/sites za TEGETA/UNUNIO waki VLOOKUP namba zilizosoma tegeta kwa mara ya pili lakini zilikuwa zimetoka mwanzo wa safari.....Then zikimatch kwa Mara ya tatu hao ndiyo watakuwa WANAHUSIKA na Utekaji maana watakuwa walibook kwenda Tanga lakini hawakuenda waliishia UNUNIO/TEGETA.
Punguza ujuajiNaanza sasa Kuhisi kuwa huenda kuna Watu wana Bifu zao ama za Kibiashara au Kisiasa na hata Kifamilia na Watekelezaji wa kumsaidia Israeli kufanya Kazi yake tukuka ya Kuzima Pumzi zetu za Duniani wakatumia Lifti ya Taasisi fulani inayolaumiwa kila Siku kuwa Wao ndiyo Wamesaidiana na huyo Israeli.
Ili niwe Juha kama Wewe?Punguza ujuaji
Kuna mambo unakaa kimya tuIli niwe Juha kama Wewe?
Abdul 😳😳Ndio sababu nawafumbua macho watanzania wenzangu, katika hili na bila kupepesa macho mchawi wetu ni Rais Samia na kijana wake Abdul. Hawa ndio WAFADHILI WA HILI GENGE LA UTEKAJI NA MAUAJI, historia itawahukumu kwa hilo.
Muswada wa Mabadiliko ya Sheria ya Usalama wa Taifa, umewapa 'Kinga ya Jinai' Maafisa Usalama
Serikali ya Rais Samia imepeleka muswada wa mabadiliko ya sheria ya usalama wa taifa - TISS ambao kwa ujumla wake una mapungufu mengi ikiwemo kuwapa kinga ya makosa ya jinai kwa maafisa wa idara hiyo. Jambo hili limezua mijadala maeneo tofauti watu wakiuliza Rais Samia anataka kuwatumia maafisa...www.jamiiforums.com
Tatizo baadhi yenu huwa mnakurupuka na hamtaki Kuelewa mtazamo wangu na mnataka Kulazimisha kila Mtu aamini kile ambacho wengi ama wanaamini kwa Kutokujua au wafuata mkumbo tu.Mambo mazito kaka, kutoana pumzi imekua jambo dogo
Amini unavyoamini na niache Mimi nisiamini unavyoamini sawa Mkuu wangu?ile over confidence ya kufanya yale yote hadharani ni wao bila shaka.
Ili niwe Juha kama Wewe?Kuna mambo unakaa kimya tu
Naanza sasa Kuhisi kuwa huenda kuna Watu wana Bifu zao ama za Kibiashara au Kisiasa na hata Kifamilia na Watekelezaji wa kumsaidia Israeli kufanya Kazi yake tukuka ya Kuzima Pumzi zetu za Duniani wakatumia Lifti ya Taasisi fulani inayolaumiwa kila Siku kuwa Wao ndiyo Wamesaidiana na huyo Israeli.