Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao

Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao


Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.

Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.

Pia Soma:
Haya sawa! Tanzania ya Nyerere na ya Mkapa sio hii ya Leo😭Ee Mungu Baba endelea Kuifanya Tanzania iwe ya Amani mpaka siku Yesu Kristo atakaporudi🙏Itujalie amani iliotukuka na pia ukatujalie kumjua adui yetu, na pia Wewe Mungu akuwajalie Watanzania kujua adui yao- Kwa kuwa Ufalme na Nguvu ni vyako milele na milele🙏
 

Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.

Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.

Pia Soma:
"Vyombo vya uchunguzi" vilivyoagizwa ni vipi? Nani kiongozi wa uchunguzi huo ambaye taasisi yake au yeye mwenyewe hawezi kushukiwa kuhusika?
 
"شرطة، تعاملوا مع المواطنين الطيبين. وفاة والدنا علي كيبوا مؤلمة جداً. لكننا كعائلة نترك الأمر لله."
 
Hata Mzee mecco kwa lissu alianza hivi hivi baadae akakataa tusisome qurujuan
 
Tuanataka ripoti ya ukweli na si FUTUHI ,damu ya mtu haiwezi kupotea ,tunapoenda ni hatari sana kama vitendo kama hivi havijadhibitiwa.

Navyoelewa pale MJAPANI COMPLEX au TEGETA CPOMPLEX Kuna Camera ,lile bus lazima litakuwa na Camera ,achunguzwe abiria aliyepanda mwanzoni wa safari na aliyeshuka na watekaji ,achunguzwe abiria aliyetaka kupanda bus hapo MJAPAN Complex.

Wachunguzi wachukue Site Cells Dumps ya namba ya simu zilizokuwa mwanzo wa safari ya bus ,kisha wachukue Cells site Dumps za sites za Tegeta baada ya kusimamishwa ,then wa VLOOKUP kupata namba zilizokuwa TEGETA ambazo zilitoka mwanzo wa safari....Then baada ya kuondoka Bus na hao WATEKAJI ,wachunguzi wachukue Dump nyingine ya cells/sites za TEGETA/UNUNIO waki VLOOKUP namba zilizosoma tegeta kwa mara ya pili lakini zilikuwa zimetoka mwanzo wa safari.....Then zikimatch kwa Mara ya tatu hao ndiyo watakuwa WANAHUSIKA na Utekaji maana watakuwa walibook kwenda Tanga lakini hawakuenda waliishia UNUNIO/TEGETA.
 
Tuanataka ripoti ya ukweli na si FUTUHI ,damu ya mtu haiwezi kupotea ,tunapoenda ni hatari sana kama vitendo kama hivi havijadhibitiwa.

Navyoelewa pale MJAPANI COMPLEX au TEGETA CPOMPLEX Kuna Camera ,lile bus lazima litakuwa na Camera ,achunguzwe abiria aliyepanda mwanzoni wa safari na aliyeshuka na watekaji ,achunguzwe abiria aliyetaka kupanda bus hapo MJAPAN Complex.

Wachunguzi wachukue Site Cells Dumps ya namba ya simu zilizokuwa mwanzo wa safari ya bus ,kisha wachukue Cells site Dumps za sites za Tegeta baada ya kusimamishwa ,then wa VLOOKUP kupata namba zilizokuwa TEGETA ambazo zilitoka mwanzo wa safari....Then baada ya kuondoka Bus na hao WATEKAJI ,wachunguzi wachukue Dump nyingine ya cells/sites za TEGETA/UNUNIO waki VLOOKUP namba zilizosoma tegeta kwa mara ya pili lakini zilikuwa zimetoka mwanzo wa safari.....Then zikimatch kwa Mara ya tatu hao ndiyo watakuwa WANAHUSIKA na Utekaji maana watakuwa walibook kwenda Tanga lakini hawakuenda waliishia UNUNIO/TEGETA.
You Have a point
 
"شرطة، تعاملوا مع المواطنين الطيبين. وفاة والدنا علي كيبوا مؤلمة جداً. لكننا كعائلة نترك الأمر لله."
 
Wanatuchezeaaa akili......mtu anatekwa mjini watu wanaona na magari police yanahusika leo mnasema hamuwajui watekaji upuuuziii......mnatupotezea muda
anaua kisha anazuga kutoa pole.
nikimkuta shetani motoni halafu nimuone Samia peponi nitaandamana.
 
Vipi ripoti ya utekaji akiiteka mtekaji 🤦🏾

Tumefikia pabaya sana, tofauti za kiitikadi na ki mitazamo imekuwa ni uadui mpaka kupelekea matukio mengi ya ajabu kutoka. Iko wapi ile Tanzania ya amani iliyokuwa inasifika siku zote 🤦🏾
 
You Have a point

Kama kweli Mh Samia anataka kujua hao watekaji awaambie vyombo vyake vya uchunguzi vifanye kama nilivyoelekeza hapo juu ,nina uhakika 100% watekaji watapatikana maana inavyooenekana kuna mtekaji alikuwa ndani ya BUS alikuwa anafanya mawasiliano na watekaji waliokuja kuliBLOCK bus....Wakifanya analysis ya Cells Sites Dumps watapata namba zilizotoka mwanzo wa safari na kuishia tegeta tu hazikumaliza safari ,na hizo namba ndizo zitawapata hao WATEKAJI.
 

Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.

Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.

Pia Soma:
Amesemea wapi?

Hawa ni genge hilohilo la kigaidi na Chawa wake wamejiandikia huu ujumbe na wanakwenda kujiandalia ripoti na kumpelekea....

Kama Yuko serious kweli, aunde tume huru ya kijaji (isiyo na polisi hata mmoja) iwachunguze polisi na TISS maana hawa ndio watuhumiwa wa kuwa nyuma ya haya mauaji....!
 
Sidhani kama kuna uhalisia ktk maagizo haya.
Kwa mfano mtu anabakwa na kuliwa nyuma hadharani lakini et wale bado hawajafungwa kisa kuna askari wanahusika.

Tanzania, Tanzania Tanzania nimekuita mara 3!

Ila Mungu yupo, hutenda kwa wakati
 
Vipi tena dictator si alishakufa tangia 2021 yupo zake kalala chato tatizo nini mbona vilio 🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi inaendelezwa
Wanaendeleza pale alipoishia
Nakukumbusha tu siku anatekwa mmeo kwako itakuwa hivi 😭😭😭
 
Sasa roho zao zimefurahi nafsi zao zimeridhika kukuona ukiwa mwili mtupu usio na pumzi,Hujawahi kuwatendea baya lolote,kosa lako ni kuwa mwanachama wa CHADEMA.

Tutakutana tena Mbinguni Kamanda.😭😭😭
 
UKiachilia tukio la lisu kupigwa risasi na kamera kufichwa atleast kwa hili papo pa kuanzia, kwenye makutano ya hiyo barabara alipotekwa ndugu kibao hapatakosekana camera waanzie huko hao walioagizwa na mm.

Bila shaka hawakuvaa vificha uso na walikuwa wakijiamini kupita kiasi
 
Back
Top Bottom