Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,534
- 7,866
Hamna kitu , the lady is red devil Kama devil wengineo. Hata alipopigwa RISASI LISU, JPM ali tweet na kutoa amri vyombo vya ulinzi vifanye uchunguzi. CCM na serikali ya Samia are responsable, tweet yake haina maana. Narudia tena watanzania Adui namba moja kwa Tanzania sio umasikini wala Ujinga, Adui namba moja ni CCM , na yeyote mtanzania unatakiwa kuipiga vita CCM mpaka damu ya mwisho. CCM imeshaumiza wengine sna. Ni wakati umefika wakurudisha majibu. It does not just happen to others , the opposite is true
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
How do you feel , umezaliwa na mama yako dunian kwa heshima tu ; then unakubali kuua mtu just kwa maslahi ya bibi ushungi, a person ambae she is a human like you and , probably hana hata 30 years ya kuishi dunian based on life expectancy data!
How do you feel unatoka kuua mtu na kurudi home kuikuta familia yako ipo salama, just you are enjoying kids wakikuita dad, huku umetoka kuua dad wa mtu , shame !
CCM na washiriki wake under Samia will pay this , kama sio leo basi ni kesho. Kama sio wewe basi familia yako
It is matter of time
Man was not born to be slave forever