Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
NakaziaWatanzania tumeshaingia kwenye mfumo tutake tusitake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaWatanzania tumeshaingia kwenye mfumo tutake tusitake
Kwamba tumepigwa goal 5 -0 nyumbanWatanzania tumeshaingia kwenye mfumo tutake tusitake
Mchukulie tu hivoHuku kuhangaika kwako kuanzisha nyuzi tunaweza kukuchukulia kama fala tu, lakini usikute ndio wahusika wenyewe.
Mhe. Rais na Amiri Jeshi Mkuu ameshaagiza. Tuvipe nafasi vyombo vya usalama.
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Ndiye muasisi wa utekaji.Vipi tena dictator si alishakufa tangia 2021 yupo zake kalala chato tatizo nini mbona vilio 🤣🤣🤣🤣🤣
Yeah manKwamba tumepigwa goal 5 -0 nyumban
Aaah kuna povu la kutosha huko....... hawezi kusoma hata comments kumiHizo comments sijui zitakuwaje huko katika mtandao wa X.
Ngoja nikachelki.
Comments reservedWanashutumu, bila ushahidi wa maana, idara Yako nyeti inayotutulizia nchi hii.
Wanakushutumu waziwazi wewe na matusi juu. Bila nukta yoyote ya ushahidi.
Wanatengeneza Kila mazingira ya kulihusisha jeshi letu la polisi Ili kulipotezea heshima na kutafuta umaarufu.
Kauli zako Mama, za kukemea haya mauaji, nashauri zitoe kwa uangalifu wa Hali ya juu mno.....ukikosea kidogo tu umeingia kwenye kumi na nane zao. Kikwete alihangaika sana na hili, ni JPM tu angalau aliwajulia.
Nawasilisha.
nb:
Leo msibani tayari wameshaanza kulishutumu jeshi la polisi.
Tena alikuwa mwanajeshi wa Military Intelligence kipindi cha vita ya Kagera, wamemuu Mwanajeshi Shushushu mkongweNaona wameamua kumuua mstaafy mwenzao jwtz.
🚽Wanashutumu, bila ushahidi wa maana, idara Yako nyeti inayotutulizia nchi hii.
Wanakushutumu waziwazi wewe na matusi juu. Bila nukta yoyote ya ushahidi.
Wanatengeneza Kila mazingira ya kulihusisha jeshi letu la polisi Ili kulipotezea heshima na kutafuta umaarufu.
Kauli zako Mama, za kukemea haya mauaji, nashauri zitoe kwa uangalifu wa Hali ya juu mno.....ukikosea kidogo tu umeingia kwenye kumi na nane zao. Kikwete alihangaika sana na hili, ni JPM tu angalau aliwajulia.
Nawasilisha.
nb:
Leo msibani tayari wameshaanza kulishutumu jeshi la polisi.
Yaani viongozi wachadema kwa sasa wanawinda kama viongozi wa Hamas. Wanapaswa wajiadhali sana hasa wa mikoa kama, mbeya, mwanza,arusha. kilimanjaro, arusha yaani mikoa yote ambayo upinzani umeshamiri sana. Jili wimbi litaendelea mpaka uchaguzi wa Rais na madiwani upite kisha viongozi watakaa kutafuta muafaka.Amelipwa kwa kifo cha kikatili inasikitisha mno