Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Watanzania, mnapaswa kukumbuka haya mambo ili yawaongoze katika nyakati za leo.
Tuwapime kwa dhamira na sio maneno.
Tuwapime kwa dhamira na sio maneno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika Ndugu yangu, lile tukio ni LAZIMA awe amepewa taarifa! Sidhani kama Hana taarifa basi kutakua na ombwe kubwa sana sana kwenye uongozi. Who's next?Watanzania, mnapaswa kukumbuka haya mambo ili yawaongoze katika nyakati za leo.
Tuwapime kwa dhamira na sio maneno.
Polisi ni taasisi kubwa.wee elewa hicho ni kitengo chao.Polisi wakikukamata si unapelekwa kwenye vyombo vya sheria? Hawa wengine ambao hawajulikani wako wapi, nani amewachukua?
Nakubali , kwanza pia hii inahusu Magari ya police yote yabadilishwe rangi , au yawe na code inayotambulika kwa raia , mfano leo nikiwa dar najua nimepanda daladala ya kwenda posta, ubungo ,mbagala , mbezi ,gongo la mboto, n.kJibu mwenyewe utakavyo
Ni hatari sana. Wahuni wanaweza kumpora tajiri, wafanyabiashara mpinzani wao kibiashara, kisiasa, kifamilia. Wakavaa jezi za polisi na magari yao navitambulisho feki nani anawasimamisha?.Polisi wakikukamata si unapelekwa kwenye vyombo vya sheria? Hawa wengine ambao hawajulikani wako wapi, nani amewachukua?
Naomba kuuliza, hivi huyu marehemu alikua anafanya biashara gani!? Isije kua hii ni vita ya kiuchumi ya Kimyakimya!!So what, ndo hivyo mzee hatunae tena ,ingekua ni deni ,lingelipwa , ingekua ni kifungo bado ndugu na jamaa wangekua na matumain kwamba ipo suku kitaisha , sasa uhai hauna mbadala , dadekii nimeumia sana ,sana ,sana sana
Sio mda sahii wa kujibu swali hili ,tafuta vyanzo mwenyeweNaomba kuuliza, hivi huyu marehemu alikua anafanya biashara gani!? Isije kua hii ni vita ya kiuchumi ya Kimyakimya!!
Imeisha hyoo..
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Hata kama, lakini wabaya wake hawana uwezo wa kwenda kubrock basi kwa mbele tena kwa landcruser mbili na kumchukua na kwenda kumuuwaNaomba kuuliza, hivi huyu marehemu alikua anafanya biashara gani!? Isije kua hii ni vita ya kiuchumi ya Kimyakimya!!
Sidhani kama anajali chochote. Labda anafikiri nani wa kumteka mwingine mwenye kiherehere.Waziri wa Mambo ya Ndani mpaka sasa anafanya nini ofisini?
Yupo mmoja tu, siku moja atanyoosha hii nchi "MUNGU"....Binafsi sitaki serikali ya Tanzania ichunguze kifo hiki na Nachukua Nafasi hii kuwakataza kabisa Viongozi wa Chadema kukubaliana na hili
Bivi una weza kumuaviza mwizi akuletee taarifa za wizi?
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Sidhani kama kulikuwa na kesi iliyosimama dhidi ya mbowe. Mbowe ni mfanyabiashara hawezi kufanya ugaidi. Ni tabaka la utawala Tanzania. Wote wakuu wa nchi ni marafiki wake.Huwa bado nawaza sana balozi Simoni Sirro enzi akiwa IGP aliwahi kusema kuwa Polisi wana ushahidi kamili kuhusu mashitaka dhidi ya Freeman Mbowe katika kesi yake ya 'ugaidi' iliyokuwa inahusisha pia utekaji na mipango ya mauaji kwa viongozi mbalimbali wa kisiasa na tuliona kina Kingai wakienfa mahakamani kutoa matokeo ya upelelezi wao, ambapo mahakama ilimkuta Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu; mara ghafla bin vuu tukaona DPP amesita kuendelea na kesi, Mbowe akatoka jela yeye na washtakiwa wenzake, siku hiyo hiyo akaenda Ikulu kuonana na Samia, mara ghafla tukaambiwa maridhiano, Kisha IGP Sirro anatolewa U-IGP na kuteuliwa kuwa balozi Zimbabwe;....
Sasa huyu kawaida, hapa amereason, ameona ni jambo la maana akaamua kuandika Twitter kabisa? Ninyi UVCCM akili zipo kweli? Reasoning gani hii ya mtu mzima?Kumekucha View attachment 3090478
Hata Magufuli alisema vyombo vya ulinzi na usalama vichunguze nani wamehusika kumpiga risasi LissuNimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Kwa hili kura yangu naipeleka chauma
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali