Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Atapigwa za uso, labda zitamuonyesha sura halisi ya hisia za watu juu yake.Hizo comments sijui zitakuwaje huko katika mtandao wa X.
Ngoja nikachelki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atapigwa za uso, labda zitamuonyesha sura halisi ya hisia za watu juu yake.Hizo comments sijui zitakuwaje huko katika mtandao wa X.
Ngoja nikachelki.
Kwakweli hili tukio limeniumiza sana nikiwaza familia yake watoto wake na watu waliokuwa wakimtegemea ,huyu mzee simfahamu ila kwa muonekano wa haraka ni muungwana ila mungu wa haki yupo na huwa hapangiwi ,hachelewi wal awahi, tumuachie yeye anayeona tusiyoyaona na anayajua tusiyoyajua
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Waswahili husema vya kurithi huzidi.Vipi tena dictator si alishakufa tangia 2021 yupo zake kalala chato tatizo nini mbona vilio 🤣🤣🤣🤣🤣
Bwana wee!Vipi tena dictator si alishakufa tangia 2021 yupo zake kalala chato tatizo nini mbona vilio 🤣🤣🤣🤣🤣
Anapooza upepo na kuwapa cha kusema chawa wakeHuyu rais si alishapewa ripoti kuhusu mfumo wa haki Tanzania, yenye madudu yote? Kaifanyia nini?
Kaifungia vileja.Huyu rais si alishapewa ripoti kuhusu mfumo wa haki Tanzania, yenye madudu yote? Kaifanyia nini?
Ofcourse ni kinafiki. Kuliko angekaa kimya. kuna normies wakiona raisi ameli-adress suala kama hili, wanajua serikali haihusikiKinafiki tu. Siku akipata hadhara ya kuhutubia ataanza kuongea vijembe vyake kuwa ni drama.
Siku atayo address hili swala kwa dhati ni siku wahalifu wake wakimuumizia kizazi chake na yeye.
si muhimu,Binafsi sitaki serikali ya Tanzania ichunguze kifo hiki na Nachukua Nafasi hii kuwakataza kabisa Viongozi wa Chadema kukubaliana na hili
At least amejitokeza. Kimya kilikua kinaibua maswali mazito sana
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Na wewe umemwamini kwamba polisi watafanya uchunguzi wa haki?At least hili suala ameli-address
Hakuna alie like jiulize kwanini? Anaanza kupoteza uungwaji mkono hata kwasisi tuliompenda na kumchukia magufuliAt least hili suala ameli-address
Angalau huyu ametaka uchunguzi na ripoti ya kina lakini aliyepita alipinga kwa nguvu zote uchunguzi wa aina yoyote.Vipi tena dictator si alishakufa tangia 2021 yupo zake kalala chato tatizo nini mbona vilio 🤣🤣🤣🤣🤣