Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

Je kama walifoji vyeti ili wafanye kazi fulani inayoonekana na walifanya na taifa likafaidika na walichozalisha, hapo inakuwaje?
Siyo wote walikuwa na vyeti feki kuna hata waliojiendeleza fani tofauti na kufanya cartegorization mfano walimu wa vodafaster waliosomea fani tofauti na kubadilishiwa kazi pia walifukuzwa,je ni sawa?
 
Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Bila kusahau hasara waliyoisababisha kwa kutoa huduma hafifu kutokana na kutokuwa na maarifa yanayotakiwa
Sijaona ulipoandika na waliofukuzwa kazini ambao walikuwa na elimu ya darasa la 7 bila sababu za msingi na mafao yao kunyang'anywa kiholela.

Hapo ndo unapodhihirisha chuki yako ya wazi kwa Mhe Rais.

Hata hao vueti feki ilikuwa ni upendeleo na ukandamizaji tu hapakuwa na haki maana akina Bashite walikuwa na vyeti feki na kelele zilipigwa lakini Rais wa wakati huo hakujali wala hakumuondoa.
 
Punguza porojo Mkuu,kughushi nyaraka za Jamhuri ni kosa la jinai.Hawa kwa Magufuli aliwasamee,walipaswa kushitakiwa na kufungwa.Kama walikuwa na haki mbona hawakuishitaki serikali?
Yaani huyo huyo aliyekuondoa kazini halafu umshitaki na unavyomjua bwana yule alikuwa ndo serikali, bunge na mahakama.

Maelekezo yote alikuwa anatoa yeye sasa hata hiyo nguvu ya kushtaki utaitoa wapi?
 
Rais akitamka kitu hata kama ni mkutanoni uelewe hilo tayari ni agizo ! Vinginevyo labda aamue tena kutengua agizo lake yeye mwenyewe !! Ameshasema walipwe maana yake watalipwa tu !! Lini ndio haijulikani !!
Ilikuwa ni Ahadi. Sasa kama Ahadi ni Deni maana yake wahusika waendelee kudai au ulielewaje mkuu?
 
Ndiyo ni halali yangu kwakuwa nitauza nipate hela najenga majumbana kuwasaidia maskini!! km yangekuwa si halali wangenikamata nayo!! lkn nimepita nayo salalma ni halali yangu ndiyo! nitauza yangu yatatimia!!

kwani napiata nayo ili iweje??? nikauze nipate hela niishi vizuri baaasi
Na ukikamatwa ukanyang'anywa pesa zote na wakataifisha mali zako zilizotokana na hiyo kazi,halafu ukaachwa bila kufungwa,ukasamehewa,utalalamika au?
 
Na ukikamatwa ukanyang'anywa pesa zote na wakataifisha mali zako zilizotokana na hiyo kazi,halafu ukaachwa bila kufungwa,ukasamehewa,utalalamika au?
Ndiyo
 
Wafanyakazi wa vyeti fake Lakini ujuzi wao haukuwa fake hajawa wahalifu kumzidi Malock.
 
Mama anataka kuleta siasa kwenye mambo ya sheria. Angalia wenzetu wakimkamata mwenye cheti feki, hata kama alifanya kazi yake vizuri.

Senior SAA pilot fired for flying with fake licence for 20 years - report​


A senior pilot was asked to resign from SAA earlier this year after it was found that he had flown commercial airplanes for more than 20 years with a fake licence, Mail & Guardian reported on Friday. SAA reportedly discovered that William Chandler's airline transport pilot licence had been forged.

This was reportedly after an investigation into a "reportable incident" on a flight he piloted. The Mail & Guardian reported that that the incident involving Flight SA206 from OR Tambo International Airport to Frankfurt, Germany, occurred in November over Swiss airspace.

According to the paper, Chandler was the monitoring pilot (co-pilot) on the trip and had the controls at the time of the incident.
SAA spokesperson Tlali Tlali reportedly said an investigation into the incident led to the discovery that Chandler's licence was fake.
In a statement issued on Friday, Tlali confirmed this saying Chandler had made false representations to the airline and claimed that he was qualified and had an Airline Transport Pilot License (ATPL), when he only had a Commercial Pilot License.

"It is an SAA requirement that all pilots obtain an ATPL license within five years of their employment as pilots at SAA. This is linked to Senior First Officer status and forms part of their conditions of employment as regulated in the SAA Pilots Regulating Agreement. Any pilot failing to obtain this license, will have their employment terminated with the airline," said Tlali.

Promotion turned down

It also reportedly explained why Chandler opted not to be promoted to the rank of captain in 2005, as he would have had to submit his certification. Chandler reportedly joined SAA as a pilot in 1994. The airline now wants Chandler to pay back the money he fraudulently earned, including perks. This could run into millions, Tlali told the paper.

On Friday Tlali said that Chandler did not present a safety risk to SAA's operation as he was in possession of a valid Commercial Pilot Licence and was the commander of the aircraft. “The pilot had successfully completed all required safety training. However, we find it disconcerting that misrepresentations were made about the type of license that the pilot claimed to possess,” said Tlali.

In 2010, a Swedish pilot who flew passenger jets for 13 years without a licence was fined R32 000 and banned from flying for 12 months, The Telegraph reported. Despite doctoring his expired pilot's licence and being banned from flying for a year by a Dutch court, the court noted he had never caused an accident in the 13 years.
Tatizo ndiyo lipo hapo. Je walioajiri hii lugha wanaijua.

Tunaunga mkono kwa nguvu zote walipwe pesa zao. Nyinyi ndiyo mazulumati hata wafanyakazi wa ndani mkijifanya na kimombo.

Mbona kufa hamtoi sifa au great. Tukumbuke hata kufa kunafanana Wanaojiona wapo juu zaidi ya wengine tukaliulize kaburi. Kaburi linamaliza kiburi chote jamani.

Sijawahi kusikia mtu amekufa kiprofession Fulani kumzidi mwenzake. Tukumbuke haya ni maisha ya hapa duniani.

Nimetoa huu mfano ili kila mtu ajipime. Maisha ni yetu sote na waliosababisha hayo yote ni sisi wenyewe.

Tusifukuzane Kama mbwa, mungu katupa utashi wa kujua nzuri na baya.

Kuna wale wanawasakama na kuwadhalili hawa watu kwangu binafsi sioni kosa lao kosa lipo kwa serikali na aliyewaajiri.

Ukitaka kujua mzulumati hakosi sababu sijui kwa Nini!!! Yaani unakuta mtu naheshoma zake tena kapeea cheo Cha kuhudumia jamii badala ya kutafuta muafaka na kurekebosha yaliyopita anamwita mwizi. Mpeleke polisi Sasa.


Tena ikiwezekana Mama warudishe kazini wamalize miaka yao ya kustaafu ili wale wenye roho mbaya wakatafute dasban kabisa.
 
Hili jambo lisingekuwa na mwisho mzuri kama lingebaki hivi, Katika kuadhibu tunaadhibiana kwa akili ili kurekebishana sio nguvu tu kwa sababu tunazo na tunaweza kuadhibu.

Mtu kakutumikia miaka 30 ukagundua aligushi cheti cha form four, anastahili adhabu ni kweli, lakini sio kwa kukata mikono yake ili asiweze kufanya kazi tena, asiwe sehemu ya uchumi wako tena awe tegemezi 100%.

Kufanya hivyo ni kujipa mzigo maana ni mwananchi wako. Aadhibiwe lakini kwa kutumia ubinadamu na upimaji wa kosa na adhabu anayostahili.

Kuwapa 5% ya makato waliyokatwa wakati wanafanya kazi raisi katumia busara kulizika hili suala rasmi.

Sasa si rahisi usikie malalamiko ya kuomba huruma kutoka kwa watu hawa tena, watumie hicho watakachojipata kuanzisha biashara halali na serikali iwe makini katika kuajiri jambo hili lisijirudie.
Hapana raisi kakosea sana ivi unajua watu kwa kugushi vyeti vyao waliwakosesha watu wangapi ajira walizostaili wapewe....je miaka yote iyo waliokaa bila ajira na wao tunawasaidiaje? Magufuli was right....kma mtu alikua anachezea mshahara wake wakt anajua anavyeti feki na akufnya la maana shauri yake


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Bila kusahau hasara waliyoisababisha kwa kutoa huduma hafifu kutokana na kutokuwa na maarifa yanayotakiwa
Ni watanzania wenzetu walifanya wao kazi kwa kutumia akili zao na nguvu zao. Vyeti havikufanya kazi bali viliwawezesha kupata kazi. Ni SAHIHI WALIPWE
 
Nilidhanigi labda jpm atalitumia hili ktka sias za mwak 2020 kuombea kura ila sas limepenyezwa huku sijui watalipwaje duh
 
Back
Top Bottom