Mungu Tusamehe Afrika
Senior Member
- Jan 18, 2022
- 139
- 204
Siyo wote walikuwa na vyeti feki kuna hata waliojiendeleza fani tofauti na kufanya cartegorization mfano walimu wa vodafaster waliosomea fani tofauti na kubadilishiwa kazi pia walifukuzwa,je ni sawa?Je kama walifoji vyeti ili wafanye kazi fulani inayoonekana na walifanya na taifa likafaidika na walichozalisha, hapo inakuwaje?
Sijaona ulipoandika na waliofukuzwa kazini ambao walikuwa na elimu ya darasa la 7 bila sababu za msingi na mafao yao kunyang'anywa kiholela.Ni Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Bila kusahau hasara waliyoisababisha kwa kutoa huduma hafifu kutokana na kutokuwa na maarifa yanayotakiwa
Yaani huyo huyo aliyekuondoa kazini halafu umshitaki na unavyomjua bwana yule alikuwa ndo serikali, bunge na mahakama.Punguza porojo Mkuu,kughushi nyaraka za Jamhuri ni kosa la jinai.Hawa kwa Magufuli aliwasamee,walipaswa kushitakiwa na kufungwa.Kama walikuwa na haki mbona hawakuishitaki serikali?
Ilikuwa ni Ahadi. Sasa kama Ahadi ni Deni maana yake wahusika waendelee kudai au ulielewaje mkuu?Rais akitamka kitu hata kama ni mkutanoni uelewe hilo tayari ni agizo ! Vinginevyo labda aamue tena kutengua agizo lake yeye mwenyewe !! Ameshasema walipwe maana yake watalipwa tu !! Lini ndio haijulikani !!
Jibu ni si SAWA.Siyo wote walikuwa na vyeti feki kuna hata waliojiendeleza fani tofauti na kufanya cartegorization mfano walimu wa vodafaster waliosomea fani tofauti na kubadilishiwa kazi pia walifukuzwa,je ni sawa?
Na ukikamatwa ukanyang'anywa pesa zote na wakataifisha mali zako zilizotokana na hiyo kazi,halafu ukaachwa bila kufungwa,ukasamehewa,utalalamika au?Ndiyo ni halali yangu kwakuwa nitauza nipate hela najenga majumbana kuwasaidia maskini!! km yangekuwa si halali wangenikamata nayo!! lkn nimepita nayo salalma ni halali yangu ndiyo! nitauza yangu yatatimia!!
kwani napiata nayo ili iweje??? nikauze nipate hela niishi vizuri baaasi
NdiyoNa ukikamatwa ukanyang'anywa pesa zote na wakataifisha mali zako zilizotokana na hiyo kazi,halafu ukaachwa bila kufungwa,ukasamehewa,utalalamika au?
Mfano wako ni mfuPair za viatu umetuma laki mbili uletewe adidas Og ukaletewa famba Adbidab ... ukavivaa haiondoi uhalisia kwamba mzigo feki
Walipweeeeeeeee.-Walipweeeeeee
Mazafaka ndo vyakula ganiMi sio mshamba kama wewe mazafaka.
Tatizo ndiyo lipo hapo. Je walioajiri hii lugha wanaijua.Mama anataka kuleta siasa kwenye mambo ya sheria. Angalia wenzetu wakimkamata mwenye cheti feki, hata kama alifanya kazi yake vizuri.
Senior SAA pilot fired for flying with fake licence for 20 years - report
A senior pilot was asked to resign from SAA earlier this year after it was found that he had flown commercial airplanes for more than 20 years with a fake licence, Mail & Guardian reported on Friday. SAA reportedly discovered that William Chandler's airline transport pilot licence had been forged.
This was reportedly after an investigation into a "reportable incident" on a flight he piloted. The Mail & Guardian reported that that the incident involving Flight SA206 from OR Tambo International Airport to Frankfurt, Germany, occurred in November over Swiss airspace.
According to the paper, Chandler was the monitoring pilot (co-pilot) on the trip and had the controls at the time of the incident.
SAA spokesperson Tlali Tlali reportedly said an investigation into the incident led to the discovery that Chandler's licence was fake.
In a statement issued on Friday, Tlali confirmed this saying Chandler had made false representations to the airline and claimed that he was qualified and had an Airline Transport Pilot License (ATPL), when he only had a Commercial Pilot License.
"It is an SAA requirement that all pilots obtain an ATPL license within five years of their employment as pilots at SAA. This is linked to Senior First Officer status and forms part of their conditions of employment as regulated in the SAA Pilots Regulating Agreement. Any pilot failing to obtain this license, will have their employment terminated with the airline," said Tlali.
Promotion turned down
It also reportedly explained why Chandler opted not to be promoted to the rank of captain in 2005, as he would have had to submit his certification. Chandler reportedly joined SAA as a pilot in 1994. The airline now wants Chandler to pay back the money he fraudulently earned, including perks. This could run into millions, Tlali told the paper.
On Friday Tlali said that Chandler did not present a safety risk to SAA's operation as he was in possession of a valid Commercial Pilot Licence and was the commander of the aircraft. “The pilot had successfully completed all required safety training. However, we find it disconcerting that misrepresentations were made about the type of license that the pilot claimed to possess,” said Tlali.
In 2010, a Swedish pilot who flew passenger jets for 13 years without a licence was fined R32 000 and banned from flying for 12 months, The Telegraph reported. Despite doctoring his expired pilot's licence and being banned from flying for a year by a Dutch court, the court noted he had never caused an accident in the 13 years.
Hapana raisi kakosea sana ivi unajua watu kwa kugushi vyeti vyao waliwakosesha watu wangapi ajira walizostaili wapewe....je miaka yote iyo waliokaa bila ajira na wao tunawasaidiaje? Magufuli was right....kma mtu alikua anachezea mshahara wake wakt anajua anavyeti feki na akufnya la maana shauri yakeHili jambo lisingekuwa na mwisho mzuri kama lingebaki hivi, Katika kuadhibu tunaadhibiana kwa akili ili kurekebishana sio nguvu tu kwa sababu tunazo na tunaweza kuadhibu.
Mtu kakutumikia miaka 30 ukagundua aligushi cheti cha form four, anastahili adhabu ni kweli, lakini sio kwa kukata mikono yake ili asiweze kufanya kazi tena, asiwe sehemu ya uchumi wako tena awe tegemezi 100%.
Kufanya hivyo ni kujipa mzigo maana ni mwananchi wako. Aadhibiwe lakini kwa kutumia ubinadamu na upimaji wa kosa na adhabu anayostahili.
Kuwapa 5% ya makato waliyokatwa wakati wanafanya kazi raisi katumia busara kulizika hili suala rasmi.
Sasa si rahisi usikie malalamiko ya kuomba huruma kutoka kwa watu hawa tena, watumie hicho watakachojipata kuanzisha biashara halali na serikali iwe makini katika kuajiri jambo hili lisijirudie.
Ni watanzania wenzetu walifanya wao kazi kwa kutumia akili zao na nguvu zao. Vyeti havikufanya kazi bali viliwawezesha kupata kazi. Ni SAHIHI WALIPWENi Mei Mosi ambpo Samia ametoa maagizo haya kuwa walioondolewa kwa vyeti feki enzi za Magufuli walipwe stahiki zao kama mafao ya kustaafu
Je ni sahihi kuwalipa hasa ikizingatiwa walitenda uhalifu kuingia kazini?
Bila kusahau hasara waliyoisababisha kwa kutoa huduma hafifu kutokana na kutokuwa na maarifa yanayotakiwa
Lini ndio haijulikani !!Ilikuwa ni Ahadi. Sasa kama Ahadi ni Deni maana yake wahusika waendelee kudai au ulielewaje mkuu?
Kwanini wakati ulichokua unafanya ni haramu?Ndiyo
Waajiri ndio walikuwa fekiFeki wapi we bwege..wakati watu waliajiriwa na mamlaka sahihi!?