Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kwani hawakufanya kazi? Hawakukatwa makato wakati wakifanya kazi?Umefoji vyeti. Umetumia laghai kazini na kwenye biashara. Hujafungwa. Bado wataka kulipwa?! Au walipwe?!
Bongo kweli banana republic…