Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 4,062
- 5,741
Walitakiwa wafunguliwe kesi kwa uhujumu uchumiNi cheti kilichofanya kazi na kikatwa hayo mafao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walitakiwa wafunguliwe kesi kwa uhujumu uchumiNi cheti kilichofanya kazi na kikatwa hayo mafao?
Acha ubinafsi unajifanya uko-concern na wenye vyeti feki vipi kuhusu waliopewa huduma na hawa watu wasiosomea unajua waliathirika kwa kiasi gani? Tamaa yako ya pesa isikufanye uingize watu hatarini ...KASOME huwezi tafuta kazi zipo nyingiJe ungekuwa wewe ungeongea hivi? Je kilichofanya kazi muda wote ni cheti au huyo mtumishi? je unauhakika gani katika ndugu au jamaa zako hakuna aliyepitia haya? maisha ni kuhangaika mtu hajaiba amehangaika kutafuta maisha wewe unakuja na kauli hii.Mama yupo sahihi na Mungu tunaomba amlipe mema.Fikiria kuna waliokutibu hospitali, somesha, kukuhudumia kwa njia yoyote ile.
Shetani aliwahi kumuadhibu nani? Tuanzie hapa mana tunaongea vitu kwa hisia tu.Tusitoe adhabu kama mashetani. Tuwe na kipimo cha adhabu. Samia hajakosea kutowarudisha kazini na kuwapa hizo 5% walizokatwa.
Unafanyaje kazi ambayo huijui?
Yanayo kamuaga desa mara nyingi machoyoooo!!! yana hatamia paper!! kiroho mbaya lkn kazi dorororrrrrr!!oooo!! lkn wale usawa wa wkt kiulainiiiiiiWaTanzania sijui nani alieturoga? Yaani mtu anajifanya hajui kosa la kughushi cheti ni kama uhaini? Mana watu/vijana wamekamua desa za kutosha lakin wanasota kitaa bado kilaza mmoja anasema mghushi cheti alitumikia kwa haki? Haki ipi?
Ukute Leo unajua kusoma na kuandika kwa Sababu aliyekufundisha Ni mmoja wao...walipwe tuWalitumikia kwa haki wakati walighushi vyeti?
weye huna ajiraWe utakuwa vyetu feki wewe! [emoji23]
Kwa Haki vipi na cheti FEKI?
Ndiyo ni halali yangu kwakuwa nitauza nipate hela najenga majumbana kuwasaidia maskini!! km yangekuwa si halali wangenikamata nayo!! lkn nimepita nayo salalma ni halali yangu ndiyo! nitauza yangu yatatimia!!Ukipita na madawa ya kulevya uwanja wa ndege ... eti kwa sababu ulikaguliwa ndio hayo madawa yanakua halali?
Raisi wa awamu ya 5(RIP) aliposema anataka baadhi ya watu waishi kama mashetani alikuwa ameyaona wapi hayo mashetani yanavyoishi maana naona unataka kutumia neno shetani kuanzisha mdahalo.Shetani aliwahi kumuadhibu nani? Tuanzie hapa mana tunaongea vitu kwa hisia tu.
Hivi unajua kuna watu ofisi za serikali hawafanyi kazi totally? Kuna jamaa ni mlevi wa kupindukia na kama dish limeyumba jamaa akiwa ofisini ni kulala na kusikiliza vipindi vya radio hata kuchapa barua hawezi walishamtoa kwenye activity lakini mshahara na posho anapokea kama kawaida unafikiri anazalisha nini huyu? Serikalini hata ukiwa na zero output utasurvive tu.hapa issue ni kuomba busara itumike kumaliza suala lao ila sio kwa kuwatetea kirahisi hivyo.Una uhakika hawaijui??? ..unaelewa experiential learning???..wangekuwa hawaijui wasingezalisha,kampuni zingekufa kibudu...natural death....Mama Samia hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Kisheria na Mwizi wa kura pia yumo!! Phd uwe nayo wewe tu!! akipata mwingine amafoji!! wakati kiingereza cha kuongea UNGA hukijui au basi angesema ameshahu..... Mungu alisema ''Usiue'' Ben saa nane yuko wapi?Kisheria si sawa na ilitakiwa wawe ndani wanatumikia vifungo
Kwahiyo unamkana jiwe?Walipwe, Asante sana mama kwa hili
Kumbe wewe Mkuu hujui !! Mpaka wewe Tsh. unamuona hivi!!! huyu hapa jiwe kafa!! jua kabisa alisha kufa kitamboooooo!! ktk ulimwengu wa Roho, sasa lile ulilo kuwa unaliona siyo Magufuli halisi yule!!aliposema anataka baadhi ya watu waishi kama mashetani alikuwa ameyaona wapi hayo mashetani yanavyoishi maana naona unataka kutumia neno shetani kuanzisha mdahalo.
Wale mnawaita covid ni wabunge Halali shida Iko kwa mnyika na mbowe mnyika alipeleka majina tume bila kumshilikiaha mbowe sasa mbowe akagoma na mnyika kishasaini waende hapo kosa la nani? Na kama barua ya kuwapekeka ilifojiwa kwanini wasishitaki miaka inaenda chadema waache uhuni hakuna mtu mjinga wa kuwaelewa kwa hiliKama ni haki yao basi walipwe tu.
Hata waliodhulumiwa ushindi wao kwenye uchaguzi 2020 walipwe haki zao ikiwemo kupewa ushindi waliodhulumiwa.
Hata Tundu Lissu alipwe haki zake zote za matibabu na kuvuliwa ubunge wake kihuni.
Kama kuna mtu kanyang'anywa haki zake pasipo halali ni vyema akarudishiwa haki zake. Kila mtu apewe haki zake.
Na kama kuna mtu aliiba haki za mtu mwingine au alilipwa haki isiyostahili ni vyema haki hiyo akanyang'anywa na akalazimishwa kuiresha kule alikoiiba. Mfano ni wale wabunge wa Covid 19. Wale ni wezi na malaya walioiba haki za kisiasa, wachukuliwe hatua mara moja.
Hahaha. Imebidi nicheke tu.Kumbe wewe Mkuu hujui !! Mpaka wewe Tsh. unamuona hivi!!! huyu hapa jiwe kafa!! jua kabisa alisha kufa kitamboooooo!! ktk ulimwengu wa Roho, sasa lile ulilo kuwa unaliona siyo Magufuli halisi yule!!
Lilikuwa jini Makata limevaa mji-sura wa jiwe!! ndo maana lilikuwa halichoki kufanya kazi linalala na mafaili kitandani! huyo ni mtu kweli?? ...likakataa safari za nje make huko nako lingeumbuliwa huko! si unajua majini hayavukagi Bahari??
Na mashabiki wengi wa jiwe humu ni majini watu!,,, usiwaamini saaana!...humu anaingia mtu yeyote tu hata kutoka kuzimu.
Kwahiyo wakulaumiwa ni wao au uzembee wa serikali?, Yaani mtu umwajiri afanye kazi Zaidi ya miaka 20+ afu uje ufukuze et ana cheki feki? Afu usimpe stahiki zake?. Hizi roho mbaya nyie watu mnazitoa wapi? Hata magufuli mwenye alikuwa na PhD fake....Kwa Haki vipi na cheti FEKI?
Walipwe, Asante sana mama kwa hili
Unaleta habari za jiwe wakati sisi tunaongolea chifu hangayaKwahiyo unamkana jiwe?
Common sense ukijumlisha na sheria unadhani nani wakulaumiwa na nani mwenye makosaKwahiyo wakulaumiwa ni wao au uzembee wa serikali?, Yaani mtu umwajiri afanye kazi Zaidi ya miaka 20+ afu uje ufukuze et ana cheki feki? Afu usimpe stahiki zake?. Hizi roho mbaya nyie watu mnazitoa wapi? Hata magufuli mwenye alikuwa na PhD fake....