Rais Samia aagiza wote waliotajwa kwa wizi wa Fedha za Umma kwenye Ripoti ya CAG washughulikiwe

Kulikuwa na haja gani kutoa tamko hadharani?

Ripoti imewaweka wazi, yeye kama Rais angewaita kama wakuu ama wa Takukuru au Polisi, kuanza kushughulika na ukamatwaji wa wahusika...
Political milage
 
Kwenye wezi Magufuli alikuwa hafikirii mara mbili wakina Singa na Rugemalila walidakwa kama vifaranga tu, ila kwa kuwa ashatoa tamko tutegemee kamatakamata kabla ya mwaka huu kuisha.
 
[emoji1666][emoji1666]
 
Kufa ni ibada na kila mtu atakufa siku yake ikifika....ikiwemo wewe, utakufa tu siku ikifika..
Haya mkuu lkn tusiweke dhana ktk mambo ambayo hayana uhalisia. Namaanisha kuwa tusiamini kuwa mzee wa Lupaso ndio kaingilia kati kesi ya faili la mwenzake, wakati na yeye inasemekana alikuwa na la kwake linalohusu migodi ya dhahabu kule...
 
Magufuli aliweka mtu wake bandarini,

Samia ana kazi kubwa yakupambana na mafisadi walioachwa na marehemu
 
Inaelekea kazi inaanza, tusubiri tuone, Karma at work !!
 
Safi mama wanyooshe mafisadi wote wanaotaka kukuangushia jumba bovu wakati ufisadi wao ulikuwa awamu ilopita
 
Awamu iliyopita imezalisha mafisadi wengi sana wamechezea sana fedha za umma kwa kuficha na kuvitisha vyombo vya habari kutotangaza maovu yaliyokuwa yanatendeka. Sasa moto huo unawaka. Mjitathimini.
Mbona mnaongea matatizo ya Tanzania kama yalianza 2015? Unafiki mkubwa sana. Awamu gani ambayo haina mafisadi na wezi? Wale kina Idd Simba walikuwa awamu gani?
 
Kwahiyo mzee wa lupaso asingeingilia Kati mzee wa remote angekula pingu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…