Political milageKulikuwa na haja gani kutoa tamko hadharani?
Ripoti imewaweka wazi, yeye kama Rais angewaita kama wakuu ama wa Takukuru au Polisi, kuanza kushughulika na ukamatwaji wa wahusika...
Kwenye wezi Magufuli alikuwa hafikirii mara mbili wakina Singa na Rugemalila walidakwa kama vifaranga tu, ila kwa kuwa ashatoa tamko tutegemee kamatakamata kabla ya mwaka huu kuisha.Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba kwenye hiyo speech alitakiwa aamuru hao woootee walioko kwenye ripoti ya CAG wakamatwe kwa sababu nina uhakika hawatachukuliwa hatua na hivyo vyombo maana wanalindana. Kwenye eneo hili JPM alifanikiwa, alikuwa hacheleweshi kutoa amri watu wanadakwa fasta.
Kumekucha.Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Bwana Chato😁😁😁
View attachment 2032507
[emoji1666][emoji1666]Mbowe so mlimfunga enzi za JPM thou mahakama ya rufaa ikagundua hakua na hatia!! Ila majitu kma chenge na yule Vice chairman wa ACACIA waliotupa hasara ya matrillion hta kamati ya maadili tu ya CCM hawakuitwa; in fact mmoja kapewa ubunge na mwingine alipewa uenyekiti wa bunge.
Alafu mtu anakuja hapa eti JPM alikua chuma??
Mkuu Mbona umeikatisha?Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Bwana Chato😁😁😁
View attachment 2032507
Haya mkuu lkn tusiweke dhana ktk mambo ambayo hayana uhalisia. Namaanisha kuwa tusiamini kuwa mzee wa Lupaso ndio kaingilia kati kesi ya faili la mwenzake, wakati na yeye inasemekana alikuwa na la kwake linalohusu migodi ya dhahabu kule...Kufa ni ibada na kila mtu atakufa siku yake ikifika....ikiwemo wewe, utakufa tu siku ikifika..
Magufuli aliweka mtu wake bandarini,Rais Samia amesema haya...
Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-
Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Mpumbavu Sana.......mnachelewesha upinzani huwezi kueleweka nchi kwa kupinga falsafa za JPM hamuoni kila anayejaribu anashindwa? Hoja nzito mnoMagufuli alikwapua 1.5 trillion mbona hakuchukuliwa hatua?
Na Kuna shida gani akiongea hadharani..Kuna Nini cha kuficha?Kulikuwa na haja gani kutoa tamko hadharani?
Ripoti imewaweka wazi, yeye kama Rais angewaita kama wakuu ama wa Takukuru au Polisi, kuanza kushughulika na ukamatwaji wa wahusika...
hamphrey polepoleMtaje tu huyo muhuni usiogope
Inaelekea kazi inaanza, tusubiri tuone, Karma at work !!Mnapenda sana kum overrate JPM ila jiulize Makonda na Sabaya wakati wanafanya madudu alikua haoni? Lugola na Nchambi walifungwa? Vipi waliobeba pesa za ESCROW Kwenye masandarusi wapo jela gani? Walioingiza serikali hasara ya matrillion kwenye Tanzanite na dhahabu wapo jela gani? In fact si alimpa ubunge wa makambako?
JPM alikamata watendaji tu ila hakugusa wanasiasa, otherwise kamati Kuu nzima ya CCM wangekua jela sahivi.
Umesikia awamu ya tano imetajwa ama umehemukwa!!Kumbe ufisadi mkubwa ulianzia awamu ya tano ya Bwana Chato😁😁😁
View attachment 2032507
Mbona mnaongea matatizo ya Tanzania kama yalianza 2015? Unafiki mkubwa sana. Awamu gani ambayo haina mafisadi na wezi? Wale kina Idd Simba walikuwa awamu gani?Awamu iliyopita imezalisha mafisadi wengi sana wamechezea sana fedha za umma kwa kuficha na kuvitisha vyombo vya habari kutotangaza maovu yaliyokuwa yanatendeka. Sasa moto huo unawaka. Mjitathimini.
Itabidi maiti ikafukuliwe ili Sheria ifuate mkondo wake.Magufuli alikwapua 1.5 trillion mbona hakuchukuliwa hatua?
Kwahiyo mzee wa lupaso asingeingilia Kati mzee wa remote angekula pingu?anaweza? hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..
vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Mungu wetu alikuwa mkubwa kuliko Mungu wa Chato ambae alikuwa amejaa kibri pamoja na ulevi wa madaraka.Umesikia awamu ya tano imetajwa ama umehemukwa!!
umepatwa na mhaho!