laptop90
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 1,829
- 2,294
We ni mchawi.Umemsikiliza? Hakuna aliposema mishahara itaongezwa
Kafie mbali huko unachomtakia mama ni nini.
Kama hukujua maana ya jambo letu tuulize sisi tukuambie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We ni mchawi.Umemsikiliza? Hakuna aliposema mishahara itaongezwa
Maana yake wage bill ya mwaka ujao kuanzia July
Hapo Jiwe lingesema mshahara siongezi na mwende mkakae na mavi yenu nyumbani.Umemsikiliza? Hakuna aliposema mishahara itaongezwa
Ni wapi amesema ataongeza mshahara?We ni mchawi.
Kafie mbali huko unachomtakia mama ni nini.
Kama hukujua maana ya jambo letu tuulize sisi tukuambie
Kuna maymos fulani hakukuwa na uchaguzi na aliongeza huku magu akikomaa na vyeti fekiHuko Kenya ni mwaka wa Uchaguzi na kuna msuguano sana.Imebidi Rais Kenyatta aongeze mshahara mwezi Mei ili kupunguza nguvu za Kambi ya Ruto kwenye uchaguzi wa Augusti mwaka huu.
July huwa ni siku ya mazishi tu lakini kifo huwa kinatangazwa Mei Mosi. Kama Samia hajasema exactly figure yoyote ya nyongeza ya mishahara hiyo maana yake hakuna nyongeza ya mishahara na mwezi wa saba utafika bila chochote kuongezeka. Mjifunze kukua kiakili.View attachment 2207268
Tusubiri july mkuu
Mwaka 2020 kwenye May mosi hapa Tz hakukuwa na nyongeza yoyote ya mshahara na ulikuwa mwaka wa uchaguzi. Hapo vipi?Huko Kenya ni mwaka wa Uchaguzi na kuna msuguano sana.Imebidi Rais Kenyatta aongeze mshahara mwezi Mei ili kupunguza nguvu za Kambi ya Ruto kwenye uchaguzi wa Augusti mwaka huu.
Mtume Issa Bin Mariam alisema nitarudi tena nije niwachukue, "nitarudi" hii usiweke garantee kwa makisio yako, course hata baada ya miaka kadhaa ni "nitarudi tena".Itasemwa hapo baadae
Hapo wataongezezwa 20000/= itakuwa ni ziroRais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01|05|2022 ametangaza neema kwa wafanyakazi,
Mtakumbuka ni miaka sita sasa Wafanyakazi wa Serikali ya hawakupandishwa kazi significantly,
Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza aliwaahidi Wafanyakazi angewaongeza mishahara mwaka 2022,
Hatimaye Rais huyu anayetajwa kuwa msikivu zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania ameongeza mishahara kwa kiwango kitakachotolewa hapo baadae
Mtakumbuka TUCTA walipendekeza kuwa kima cha chini kiwe TZS 1,010,000,
Hongera Rais Samia, Hongera Wafanyakazi, Hongera Tanzania,
Kazi iendelee
Alichosema Rais Samia;
“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua halo ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”
Ni bora sasa hivi umegundua kuwa nyie walimu sio watumishi wa ummaKwa watumishi haji tokea Rais mwingine kama huyu... Hakika ameuthamini sana utumishi wa uma. Mungu ambariki.
Mishahara hupanda mwezi Julai.Hapo baade inaweza ikawa Mwakani
Jambo letu kwa sisi wafanyakazi ni mshahara ndo term tunayotumia siku hiziNi wapi amesema ataongeza mshahara?
Ni bora sasa hivi umegundua kuwa nyie walimu sio watumishi wa umma
We ndo huna akili.July huwa ni siku ya mazishi tu lakini kifo huwa kinatangazwa Mei Mosi. Kama Samia hajasema exactly figure yoyote ya nyongeza ya mishahara hiyo maana yake hakuna nyongeza ya mishahara na mwezi wa saba utafika bila chochote kuongezeka. Mjifunze kukua kiakili.
Tumekubaliana humu kuwa walimu ni "watawa"Ila ni nini!?