Rais Samia aahidi kupandisha mishahara watumishi wa serikali

Rais Samia aahidi kupandisha mishahara watumishi wa serikali

Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01|05|2022 ambayo ni siku ya "Mei Mosi "

Rais wetu ametangaza neema kwa wafanyakazi wa Serikali anayoiongoza,

Mtakumbuka ni miaka sita sasa Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania hawakupandishwa mishahara significantly,

Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021

Rais Samia aliwaahidi Wafanyakazi angewaongeza mishahara mwaka huu wa 2022,

Hatimaye Rais huyu anayetajwa kuwa msikivu zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania ameongeza mishahara kwa kiwango kitakachotolewa hapo baadae

Mtakumbuka TUCTA walipendekeza kuwa kima cha chini kiwe TZS 1,010,000,

Hongera Rais Samia, Hongera Wafanyakazi, Hongera Tanzania,

===
Alichosema Rais Samia;
“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua halo ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”

IMG-20220501-WA0038.jpg


IMG-20220501-WA0039.jpg
 

Attachments

  • VID-20220501-WA0036.mp4
    4.3 MB
Raisi kutamka ataongeza mshahara nalo ni jambo la siri? Mpaka tuanze kutafsiri kauli zake either anamaanisha hivi au vile?
Nani katafsiri ?Wananchi wameelewa.Nisije nikawa nabishana na mtu asiyejua kinachozungumzwa.Kama ingekuwa siri wananchi wasingeshangilia.Au kiswahili kinakupiga chenga.
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01|05|2022 ambayo ni siku ya "Mei Mosi "

Rais wetu ametangaza neema kwa wafanyakazi wa Serikali anayoiongoza,

Mtakumbuka ni miaka sita sasa Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania hawakupandishwa mishahara significantly,

Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021

Rais Samia aliwaahidi Wafanyakazi angewaongeza mishahara mwaka huu wa 2022,

Hatimaye Rais huyu anayetajwa kuwa msikivu zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania ameongeza mishahara kwa kiwango kitakachotolewa hapo baadae

Mtakumbuka TUCTA walipendekeza kuwa kima cha chini kiwe TZS 1,010,000,

Hongera Rais Samia, Hongera Wafanyakazi, Hongera Tanzania,

===
Alichosema Rais Samia;
“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua halo ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”

Ti Ti Ti, mwanangu alinambia anataka Subaru nimemwambia ngoja nione hali, Sasa kama a nawaza namaanisha ndani ya miaka 5 nitamnunulia, he is very wrong.
 
Nilichoelewa ni pale alipokaa kimya kupisha adhana. Nadhani hilo tukio lilikuwa scripted as planned.

Lol
 
“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua halo ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”
Hao wanaoiba na kufuja fedha za umma wanazitoa wapi kama uchumi wetu ni mbaya
 
Nasubiri vichwa vya magazeti ya
  1. Uhuru
  2. Habari leo
  3. Tanzanite
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01|05|2022 ambayo ni siku ya "Mei Mosi "

Rais wetu ametangaza neema kwa wafanyakazi wa Serikali anayoiongoza,

Mtakumbuka ni miaka sita sasa Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania hawakupandishwa mishahara significantly,

Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021

Rais Samia aliwaahidi Wafanyakazi angewaongeza mishahara mwaka huu wa 2022,

Hatimaye Rais huyu anayetajwa kuwa msikivu zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania ameongeza mishahara kwa kiwango kitakachotolewa hapo baadae

Mtakumbuka TUCTA walipendekeza kuwa kima cha chini kiwe TZS 1,010,000,

Hongera Rais Samia, Hongera Wafanyakazi, Hongera Tanzania,Hongera CCM,

===
Alichosema Rais Samia;
“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua hali ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. "

"Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”
Jambo letu ni kitu gani?

Yan hata Rais mwenyewe anaona aibu kutamka neno "nyongeza ya mishahara"

Nchi hii imeharibiwa sana na CCM
 
Nani katafsiri ?Wananchi wameelewa.Nisije nikawa nabishana na mtu asiyejua kinachozungumzwa.Kama ingekuwa siri wananchi wasingeshangilia.Au kiswahili kinakupiga chenga.
Kuongeza mshahara ni neno gumu kiasi gani? Unataka kusema raisi aanaona aibu kusema mshahara utaongezeka?
 
Ni wapi raisi alisema ataongeza? Raisi kasema watapiga hesabu kuona kaamaa inafaa, Ila hajatamka wataongeza.
Mm swali langu kwako hizo hesabu si zingeweza kupigwa kabla ya leo?
Mjomba hukusoma fasihi wewee, hakutaka kusema hadharani kumbuka enzi za mkapa alikuwa hatamki ovyo lakini mwezi july kitu kimesoma lengo ni kuzuia kupanda kwa bidhaa ovyo elewa basii sio lazima atamke ameongeza subiri july utaona wameongezwa au laaah!!
 
Mjomba hukusoma fasihi wewee, hakutaka kusema hadharani kumbuka enzi za mkapa alikuwa hatamki ovyo lakini mwezi july kitu kimesoma lengo ni kuzuia kupanda kwa bidhaa ovyo elewa basii sio lazima atamke ameongeza subiri july utaona wameongezwa au laaah!!
Hii hoja ya kusema sijui hawezi kutamka kwa sababu bidhaa zitapanda mbona ni hoja ya ajabu? Si huyuhuyu alisema zaidi ya mara mbili kuwa kila kitu kitapanda bei?
 
Mwanza siyo mbeya
Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01|05|2022 ambayo ni siku ya "Mei Mosi "

Rais wetu ametangaza neema kwa wafanyakazi wa Serikali anayoiongoza,

Mtakumbuka ni miaka sita sasa Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania hawakupandishwa mishahara significantly,

Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021

Rais Samia aliwaahidi Wafanyakazi angewaongeza mishahara mwaka huu wa 2022,

Hatimaye Rais huyu anayetajwa kuwa msikivu zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania ameongeza mishahara kwa kiwango kitakachotolewa hapo baadae

Mtakumbuka TUCTA walipendekeza kuwa kima cha chini kiwe TZS 1,010,000,

Hongera Rais Samia, Hongera Wafanyakazi, Hongera Tanzania,Hongera CCM,

Alichosema Rais Samia;
===

“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua hali ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. "

"Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”
===


Lazima tuelewe kutaja ongezeko la mishahara ya watu hadharani ni kuchochea mfumuko wa bei nchini,Sasa tukachape kazi kwa bidii,
 
Raisi kutamka ataongeza mshahara nalo ni jambo la siri? Mpaka tuanze kutafsiri kauli zake either anamaanisha hivi au vile?

Watumishi vichwa maji mno wanaona kila kitu ni hisani ya Rais! Acha ikae hivyo tu!
 
Back
Top Bottom