Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Ni mwanza siyo mbeya.Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mwanza siyo mbeya.Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021
Lakini hatutakuja kuwapa nchi chaggadema, piga ua garagaza.Jambo letu ni kitu gani?
Yan hata Rais mwenyewe anaona aibu kutamka neno "nyongeza ya mishahara"
Nchi hii imeharibiwa sana na CCM
Huyu ndo Rais. Si Yule ambaye anataka wafanyakazi ambao wanakatwa Jodi wachangie tena gharama za miradi ya serikali.Mzigo upo jikoni unapikwa ndio tunachojua[emoji23][emoji23]
Mkuu mishahara imeongezwa kuwa na amani,Hapo baade inaweza ikawa Mwakani
Wewe huna chochote hapo unataka kujua nini wakati wewe mchimba vyoo mtaani.Raisi kutamka ataongeza mshahara nalo ni jambo la siri? Mpaka tuanze kutafsiri kauli zake either anamaanisha hivi au vile?
😀😀😀Tumetoka mbali sana aise,Hapo Jiwe lingesema mshahara siongezi na mwende mkakae na mavi yenu nyumbani.
acha wivu we CHADEMA,Changa la macho
Kuongeza mshahara ni neno gumu kiasi gani? Unataka kusema raisi aanaona aibu kusema mshahara utaongezeka?
🤓Jamaa hujui hata MISIMU?au REJESTA?
mama katumia maneno kulingana na mazingira,na ndio maana watu wameshangilia Sana.
Watumishi vichwa maji mno wanaona kila kitu ni hisani ya Rais! Acha ikae hivyo tu!
FoolishLakini hatutakuja kuwapa nchi chaggadema, piga ua garagaza.
Bora tuwape CHAUMA
Kama ipo kwann asitaje asilimia ngapiacha wivu we CHADEMA,
Wewe ni mfanyakazi?Kama ipo kwann asitaje asilimia ngapi
Mimi ni mlipa kodiWewe ni mfanyakazi?