Rais Samia aahidi kupandisha mishahara watumishi wa serikali

Rais Samia aahidi kupandisha mishahara watumishi wa serikali

Correction: Mei mosi ya Kwanza ya Rais Samia akiwa Rais ilifanyika jijini Mwanza na sio Mbeya
 
Ameongeza asilimia ngap?
Unajua sisi wtz tunaishi kama ng'ombe kila kitu ni kwa hisan ya rais ilitakiwa ataje kiwango kwa asilimia mambo ya mipasho katka maswala ya kiserikali ya nini eti jambo letu Lipo na mijitu inakenua meno bila kujua nini na kiasi gani kinaingia
 
Kwa sababu kiasi hakijatajwa basi tuvumilie tukisubiri nyongeza hata ya buku
 
Wenzenu wanaojielewa

Screenshot_20220501-160610_Facebook.jpg
 
Aisee, wee jamaaa wewe

Utakuwa na mawazo.

Jambo letu lile ni mishahara ndugu, kasema ataongeza ila si kwa kiwnago cha TuCTA, sie wafanyakazi hewala...hata ikiwa fifty inatosha angalau.
KWA maono yako hayo utakuwa mwalimu au mgambo maisha yamepanda hivi unawaza elfu 50
 
View attachment 2207381
===
Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01|05|2022 ambayo ni siku ya "Mei Mosi "

Rais wetu ametangaza neema kwa wafanyakazi wa Serikali anayoiongoza,

Mtakumbuka ni miaka sita sasa Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania hawakupandishwa mishahara significantly,

Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021

Rais Samia aliwaahidi Wafanyakazi angewaongeza mishahara mwaka huu wa 2022,

Hatimaye Rais huyu anayetajwa kuwa msikivu zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania ameongeza mishahara kwa kiwango kitakachotolewa hapo baadae

Mtakumbuka TUCTA walipendekeza kuwa kima cha chini kiwe TZS 1,010,000,

Hongera Rais Samia, Hongera Wafanyakazi, Hongera Tanzania,Hongera CCM,

Alichosema Rais Samia;
===

“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua hali ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. "

"Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”
===


Lazima tuelewe kutaja ongezeko la mishahara ya watu hadharani ni kuchochea mfumuko wa bei nchini,Sasa tukachape kazi kwa bidii,
usani mtupu
 
Siwachukii walimu Ila nasema kweli hamna akili. Angalia tu hata post zako na comment zako utagundua hamna akili.
Mm sio Mwalimu kwa kuwa nina akili
 
View attachment 2207381
===
Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01|05|2022 ambayo ni siku ya "Mei Mosi "

Rais wetu ametangaza neema kwa wafanyakazi wa Serikali anayoiongoza,

Mtakumbuka ni miaka sita sasa Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania hawakupandishwa mishahara significantly,

Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021

Rais Samia aliwaahidi Wafanyakazi angewaongeza mishahara mwaka huu wa 2022,

Hatimaye Rais huyu anayetajwa kuwa msikivu zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania ameongeza mishahara kwa kiwango kitakachotolewa hapo baadae

Mtakumbuka TUCTA walipendekeza kuwa kima cha chini kiwe TZS 1,010,000,

Hongera Rais Samia, Hongera Wafanyakazi, Hongera Tanzania,Hongera CCM,

Alichosema Rais Samia;
===

“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua hali ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. "

"Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”
===


Lazima tuelewe kutaja ongezeko la mishahara ya watu hadharani ni kuchochea mfumuko wa bei nchini,Sasa tukachape kazi kwa bidii,
Tikitaka matata which sounds like sound 🤣🤣 japo mama huwa hasemi uongo,tunasubiria bajeti ya Mwigulu na salary ya July.
 
Huu uzi baadae unaweza kuja kuwa wa manung'uniko ni swala ka muda tuu[emoji1487]
 
Kutaja ongezeko la mishahara hadharani ni kuchochea mfumuko wa bei,
Huo ni ushamba rais si alisema vitu vitapanda kwani alitangaza nyongeza ya mshahara kupanda kwa vtu ni principle ya demand and supply na wala sio maigizo hayo yanayofanyika
 
🤓🤓,Nmekuuliza wewe umeajiliwa au umejiajili?
Akili ulizonazo wewe Ni zipi Sasa🤔,labda za kuvalia/kuvulia Nguo.


Siwachukii walimu Ila nasema kweli hamna akili. Angalia tu hata post zako na comment zako utagundua hamna akili.
Mm sio Mwalimu kwa kuwa nina akili
 
Wewe huna chochote hapo unataka kujua nini wakati wewe mchimba vyoo mtaani.
Sisi linatuhusu hili na tumekua tunatumia msemo huo.
Afterall leo ni sikuukuu ya wafanyakazi wewe mchimba vyoo haikuhusu
Kwani kuchimba vyoo sio kazi unajita mfanyakazi akili kisoda ujue kuna sector binafsi na umma
 
Back
Top Bottom