Rais wa Matajiri
JF-Expert Member
- Sep 14, 2018
- 1,522
- 643
Hongera Sana Rais Samia Suluhu Hassan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua sisi wtz tunaishi kama ng'ombe kila kitu ni kwa hisan ya rais ilitakiwa ataje kiwango kwa asilimia mambo ya mipasho katka maswala ya kiserikali ya nini eti jambo letu Lipo na mijitu inakenua meno bila kujua nini na kiasi gani kinaingiaAmeongeza asilimia ngap?
Walimu hamna akili
🙄We kijamaa una msongo wa mawazo siyo kwa kuwachukia walimu kiasi hiki!!
Ebu tuambie wewe unafanya kazi gani?!
Ameongeza asilimia ngapi? Au ahadi ndo kuwajali?Asante mama kwa kuwajali watumishi na watanzania kwa ujumla
Sisikilizi hivyo vyombo vyenu, better niangalie judge Judy au mengineyo.Umemsikiliza lakin au unasema heko tu?!
KWA maono yako hayo utakuwa mwalimu au mgambo maisha yamepanda hivi unawaza elfu 50Aisee, wee jamaaa wewe
Utakuwa na mawazo.
Jambo letu lile ni mishahara ndugu, kasema ataongeza ila si kwa kiwnago cha TuCTA, sie wafanyakazi hewala...hata ikiwa fifty inatosha angalau.
usani mtupuView attachment 2207381
===
Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01|05|2022 ambayo ni siku ya "Mei Mosi "
Rais wetu ametangaza neema kwa wafanyakazi wa Serikali anayoiongoza,
Mtakumbuka ni miaka sita sasa Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania hawakupandishwa mishahara significantly,
Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021
Rais Samia aliwaahidi Wafanyakazi angewaongeza mishahara mwaka huu wa 2022,
Hatimaye Rais huyu anayetajwa kuwa msikivu zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania ameongeza mishahara kwa kiwango kitakachotolewa hapo baadae
Mtakumbuka TUCTA walipendekeza kuwa kima cha chini kiwe TZS 1,010,000,
Hongera Rais Samia, Hongera Wafanyakazi, Hongera Tanzania,Hongera CCM,
Alichosema Rais Samia;
===
“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua hali ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. "
"Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”
===
Lazima tuelewe kutaja ongezeko la mishahara ya watu hadharani ni kuchochea mfumuko wa bei nchini,Sasa tukachape kazi kwa bidii,
Tikitaka matata which sounds like sound 🤣🤣 japo mama huwa hasemi uongo,tunasubiria bajeti ya Mwigulu na salary ya July.View attachment 2207381
===
Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01|05|2022 ambayo ni siku ya "Mei Mosi "
Rais wetu ametangaza neema kwa wafanyakazi wa Serikali anayoiongoza,
Mtakumbuka ni miaka sita sasa Wafanyakazi wa Serikali ya Tanzania hawakupandishwa mishahara significantly,
Tunakumbuka, Rais Samia alipokuwa Jijini Mbeya katika Mei Mosi yake ya kwanza ya 01|05|2021
Rais Samia aliwaahidi Wafanyakazi angewaongeza mishahara mwaka huu wa 2022,
Hatimaye Rais huyu anayetajwa kuwa msikivu zaidi kuwahi kutokea hapa Tanzania ameongeza mishahara kwa kiwango kitakachotolewa hapo baadae
Mtakumbuka TUCTA walipendekeza kuwa kima cha chini kiwe TZS 1,010,000,
Hongera Rais Samia, Hongera Wafanyakazi, Hongera Tanzania,Hongera CCM,
Alichosema Rais Samia;
===
“Lile jambo letu lipo. Ndugu zangu jambo letu lipo ila sio kwa kiwango kilichosemwa na TUCTA kwa sababu mnajua hali ya uchumi wa nchi yetu na hali ya uchumi wa dunia. Hali si nzuri sana uchumi wetu ulishuka chini mno. "
"Tumejitahidi sana na kwa sababu nilishatoa ahadi mwaka jana, kwa hiyo nimeagiza jambo liwepo, mahesabu yanaendelea, tutajua lipo kwa kiasi gani. Lakini jambo lipo”
===
Lazima tuelewe kutaja ongezeko la mishahara ya watu hadharani ni kuchochea mfumuko wa bei nchini,Sasa tukachape kazi kwa bidii,
Acha unyumbu wewe kuwa na akili basi, hapa tunaongelea Samia wewe unawashwa na marehemu.Hapo Jiwe lingesema mshahara siongezi na mwende mkakae na mavi yenu nyumbani.
Safi sana Mama SamiaHongera Rais leo wafanyakazi wameondoka na tabasamuuuuu
Huo ni ushamba rais si alisema vitu vitapanda kwani alitangaza nyongeza ya mshahara kupanda kwa vtu ni principle ya demand and supply na wala sio maigizo hayo yanayofanyikaKutaja ongezeko la mishahara hadharani ni kuchochea mfumuko wa bei,
🤓🤓,Nmekuuliza wewe umeajiliwa au umejiajili?
Akili ulizonazo wewe Ni zipi Sasa🤔,labda za kuvalia/kuvulia Nguo.
Siwachukii walimu Ila nasema kweli hamna akili. Angalia tu hata post zako na comment zako utagundua hamna akili.
Mm sio Mwalimu kwa kuwa nina akili
Kwani kuchimba vyoo sio kazi unajita mfanyakazi akili kisoda ujue kuna sector binafsi na ummaWewe huna chochote hapo unataka kujua nini wakati wewe mchimba vyoo mtaani.
Sisi linatuhusu hili na tumekua tunatumia msemo huo.
Afterall leo ni sikuukuu ya wafanyakazi wewe mchimba vyoo haikuhusu