Englishlady
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 2,736
- 3,644
Aisee, wee jamaaa weweNi wapi amesema ataongeza mshahara?
Utakuwa na mawazo.
Jambo letu lile ni mishahara ndugu, kasema ataongeza ila si kwa kiwnago cha TuCTA, sie wafanyakazi hewala...hata ikiwa fifty inatosha angalau.