Rais Samia aahidi kupandisha mishahara watumishi wa serikali

Huko Kenya ni mwaka wa Uchaguzi na kuna msuguano sana.Imebidi Rais Kenyatta aongeze mishahara mwezi Mei ili kupunguza nguvu za Kambi ya Ruto kwenye uchaguzi wa Augusti mwaka huu.

Uchaguzi wa 2020 mbona dhalimu hakupandisha hapa?
 
KWA maono yako hayo utakuwa mwalimu au mgambo maisha yamepanda hivi unawaza elfu 50
Ha ha ha ha

Whatever

Mwalimu analipwa mshahara mzuri tu kulingana na elimu yake

By ze way walimu ni watu wa muhimu sana kwa maisha yako,usingeweza kuingia JF bila mwalimu, waheshimu.

Mgambo?? Sijui kama wapo kwenye utumishi wa umma
 
Wameongezewa Wale wachini tu,
 
Kama hawezi pandisha mishahara basi ashushe Kodi PAYE
 
Hv mishahara ikiongezeka unadhan wafanyabiashara hawatojua?????hili suala co siri kama mnavyotaka kuwaaminisha wengne
 
Hongera Rais leo wafanyakazi wameondoka na tabasamuuuuu
Unaweza kuta akaongeza elfu 20000,hapo ndo mtajua hamjui, kenya kaongeza 12% ya kile mtu anapata maana yake aliekua anapata mil MOJA anaongezewa laki na ushee ambayo ni sawa na m MOJA KWa pesa za kibongo , wakenya tuwaache wameisha tupiga gape, kuanzia katiba yao , nk
 
Kaongeza kima cha chini tu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…