Rais Samia aahirisha ziara yake ya Cuba

Napitia maoni ya haters wa mama Samia hapa, kiukweli Wana matatizo ya akili na kijinsia. Huo ndo ukweli.
 
Arudi tu home,asije tumbukia baharini bure!
nilisema tangu juzi hii safari imeratibiwa kipuuzi sana, wakati huu wa mvua za vuli maeneo ya caribean yanakuwa na vimbunga na mikondo ya bahari mikali, wakati huu wa uchaguzi marekani wako buzy na ushibdi wa trump wewe unaratibu safari ya rais kweli? hivi kweli kiswahili tu ndo kinatupeleka huko au na mambo ya tiba asili?
 
laiti kingemkuta anatua huenda tungefurahi.
 
sio wote tusiokubaliana na hii safari tuko against mama, usitulishe maneno, hili eneo maarufu kama baracuda sio salama kukatiza kipindi hiki cha kuelekea masika
Acha aende akatize huenda akakutana na Magu huko.
 
Kila kiongozi wa SADC anayekuja Tanzania wakati nchi yake inakaribia kipindi cha uchaguzi, lazima akirudi huko kwao mambo yaharibike. Tumeshuhudia Zimbabwe, na sasa Msumbiji, inaonekana maccm huwa yanawapa hawa majamaa mbinu chafu za wizi wa kura wakidhani zinaweza ku function kwenye kila taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…