Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili


TEC watangulize ule Waraka....!!
 
Ila Hawa Vatican Wana nguvu Gani? Papa anaweza hata kum summon Biden chap tu
Ni kwasababu ndan ya kila serikali kuna watu waumini ya kikristo ambao ni ngumu kwenda kinyume nae kwa viapo vya imani.

Na hao watu wanafahamika na jeshi la siri la usalama wa vatican(wanaitwa Jesuit), hvyo raisi yeyote akiwa mwisho basi anaweza poteza vitu vingi ndan ya nchi yake mwenyewe na akafanya vibaya na watu wake mwenyewe .

NB: Hapa siongelei dini bali intelijensia ya JESUIT
 
Eti mazungumzo ya siku mbili 😆😆.

Biden kakaa kwa mazungumzo na papa kwa takriban dakika 75, hakuna kiongozi aliyewahi kuufikia muda huo.

Huyu wa kwetu siku mbili watakuwa wanajadili nini!
Ingekuwa kule kwingine mgesema anatoa mrejesho kwa wajomba zake.
 
Ukweli ni kwamba ameomba kwenda kuonana na papa! Acheni kulemba lemba.
 
Pope huwa halaiki viongozi wa nchi bali viongozi huimba kutembelea/kutembelewa na pope. Hiyo taarifa ya makamba ina uchawa ndani yake
 
ieleweke white pope anayatekeleza anayoyapata kutoka kwa black pope, ambapo naye anayatekeleza anayoyapokea kutoka kwa grey pope. Shetani yuko kazini akitenda kwa siri na hila nyingi sana.


YESU NI BWANA NA MWOKOZI
 
Baada ya SATAN pale juu, tuliona zinafatia 13 EVIL SATANIC BLOODLINE FAMILIES. Shetani anazitumia kurule the World, sio binadam wa kawaida japo tunawaona ni watu. Ni malaika wa shetani na uzao wao waliozaa na binadam, wengine wakatokea kuwa reptile species na tunaishi nao humu humu.

Baada ya hizi familia Kuna NGAZI ya MAPAPA inafatia ambao wako WATATU
1. GRAY POPE
2. BLACK POPE
3. WHITE POPE
Karibu tuone wasifu wao angalau Kwa ufupi[emoji116]
 
kule kujiita tu "Baba Mtakatifu" ni kufuru. Baba Mtakatifu ni mmoja tu na ndiye Mungu. Yoh 17:11

Yesu ni Mwokozi
 
The Vatican is the richest country in the world with trillions of $ of investments thru big shares and Bonds in US, banks, churches, schools, hospitals, industries etc etc, and most dangerous silent small country that rules almost every country in the world, the Roman empire lost only its military powers, but in terms of political influence, geography, properties, investments, richness, is top of all countries in the world, Vatican is Roman empire today..!!

Safari njema..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…