Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
Wasio masikini nao ni watu na ni watanzania hivyo sio kila muda tufikirie masikini tu kana kwamba ndio pekee wenye haki.Huo mualiko unamsaidiaje maskini wa kule Namtumbo
Yes uko sahihi inabidi akajieleze huko kwa boss wake maana ndio mifumo wanayoichagua na kuitegemea akajieleze kwa nini kawapa bandari waarabuAnaenda kurekebishaa uhisiano mbaya unaondelea Kati ya Tec na serkali kuhusu uuzaji wa bandari kwa waarabu
You are very genius too,we will see it laterWho ever plan this trip is very genius see you later[emoji850]
Kaitwa vatican, na kiongozi mkuu wa Kanisa Takatifu la mitume, Roman catholic, una lolote la kuchangia?Wabarikiwa wa tek wanajiharia saa hizi.
Kama dini (either ukristu au uislam na nyinginezo) Hazikufanyi kuwa mtu mwema,mstaarabu na mnyenyekevu then wewe ni hopeless katika dunia na mbinguni (Kama Mungu na mbingu vipo).Wabarikiwa wa tek wanajiharia saa hizi.
Sioni tatizo lolote hapo, kaitwa na mkuu wa nchi ya Vatican kama Mkuu wa nchi ya Tanzania.Kaitwa vatican, na kiongozi mkuu wa Kanisa Takatifu la mitume, Roman catholic, una lolote la kuchangia?
Kama anaweza amualike yeye mama samia amwambie aje? Kwanza huyo kaenda papa hawezi kumualika. Wewe barua ya mwaliko umeiona? Au umeona popote vatican wakisema wamemualika mama samia?Hizi story mnadanganyana mkiwa mnabinuana makanisani mkibarikiwa?
Unafikiri TEC ni kama BAKWATA? Unafikiri kaalikwa tu by chance?Wabarikiwa wa tek wanajiharia saa hizi.
Acha kulisha watu Matango pori ya Vilabuni huko.Mkuu kama ulikuwa hujui, fahamu kuwa Papa ndio kiongozi mkuu kwenye hii dunia, yaani yeye ndio boss. Hakuna kiongozi yeyote kwenye hii dunia ana sauti mbele ya Papa.
bakwata inahusu nini sasa? Bakwata ni chombo cha tec.Unafikiri TEC ni kama BAKWATA? Unafikiri kaalikwa tu by chance?
CCM ni Taasisi ya Vatican ipo chini ya Papa. Papa ana haki kumualike Mama.Uongozi wa kikatoliki duniani umemualika rais wa Tanzania mama Samia kuitembelea Vatican.
Hii itakuwa ni somo murua kabisa kwa ndugu zetu hasa wa hapa jf ambao wanaeneza udini na chuki na uhasama wa uislam na ukristo.
Vatican imemualika rais Samia ambaye ni muislam tena muumini kweli kweli.
Hili ni fundisho kwa watanzania kuwa tisiwe na maneno mengi bila ya kuchunguza na kukitidhisha.
Mungu ameshinda vita kati ya wanao kusudia kuharibu amani ya nchi yetu kupitia kueneza chuki za KIDINI.
Mungu ibariki Tanzania.View attachment 2878752
Masikini afanye kazi ajiondoe kwenye umasikini, serikali haiwezi kukutoa kwenye umasikiniHuo mualiko unamsaidiaje maskini wa kule Namtumbo
Anajipeleka mwenyewe?Amealikwa au amejialika ,tuwekane sawa hapa , kama vipi leta ushahidi wa mwaliko , why mnachukulia watz wapumbavu sana nchi hii, kumbuka
Kikwete alijialika
Mkapa alijialika n.k ,so kipi cha msingi sana Papa amwalike ,Tueshimiane mtoa mada hauijui Dunia
Nasubiri kuwasikia wazee wa I'm proud to be ........Kaalikwa na bosi wa maraisi wote duniani
Degree za Freemason au?Ndie boss wao papa ana degree 33 kwa cheo