Una maanisha yule jambazi? Sijaelewa kabisa!Kila Rais anapoonekana amekosea wanasingiziwa wasaidizi wake akifanya vizuri anapongezwa yeye
Kwa huu unafiki wa watanzania usitegemee tanzania kupiga hatua
Yule mwanaume aliyelala chato ni mtu pekee tuliyepewa kuibadilisha tanzania kwa wakati huu ila Mungu alimwita mapema tuombe atokee mwingne
The Loughing stock of 6th term.Mwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736
Basi kwa kusahihisha tuseme dishi limeyumba!yaan kwa hicho alichokisema ndo unaconclude kuwa amepoteza dira? wabongo banah
Mama kaona mnamsema vibaya sana mtandaoni ,kaona awe kiburi asiwasikilize,ni normal reaction mnavyomponda haisaidii mambo, shaurini nini kifanyike kwa upole
Kama ni kweli basi anazidi kudhihirisha alivyo mweupe.Mama kaona mnamsema vibaya sana mtandaoni ,kaona awe kiburi asiwasikilize,ni normal reaction mnavyomponda haisaidii mambo, shaurini nini kifanyike kwa upole
Kwi Kwi KwiMwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736
Sasa hapo vinahusina nini hivyoMwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736
Hapo ndo anapotea zaidi.Mama kaona mnamsema vibaya sana mtandaoni ,kaona awe kiburi asiwasikilize,ni normal reaction mnavyomponda haisaidii mambo, shaurini nini kifanyike kwa upole
Watuwekee tozo kwenye nauli ya daladala huku tutapata mapato mengi zaidiMleta mada ongeza sauti kidogo. Mshtue maza mwambie aongeze tozo maana naona tutachelewa sana kufikia malengo
Na kwenye nauli za boda boda waweke tozo ili mapato yaongezekeWatuwekee tozo kwenye nauli ya daladala huku tutapata mapato mengi zaidi
Kabisa tumechelewa Sana waweke tozo KILA sehemuNa kwenye nauli za boda boda waweke tozo ili mapato yaongezeke