Rais Samia abadilishiwe washauri, mbona anazidi kupoteza dira?

Rais Samia abadilishiwe washauri, mbona anazidi kupoteza dira?

Magufuli alikuwa anenda kuiua kabisa Tanzania sio kuibadilisha.
Kweli alikuwa anaenda kuiua Tanzania kwa kufanya haya..na tutamkumbuka Sana. ....
Kununua midege
Kujenga vivuko
Kurasimisha madini yetu
Kuondoa watumishi hewa
Kuondoa vyeti feki
Kujenga stiglers bwawa la umeme
Kuongeza bajeti ya Madawa
Kuongeza bajeti ya mikopo elimu ya juu
Kuwafyeka mafisadi
Nidhamu utumishi wa umma
 
WTF???!!!

Did she really say that?
Yes she did. Mimi imenishangaza sana, na ni kawaida ukiona kiongozi mkuu ana Anza dalili za kutopoka ropoka bila kufikiri madhara ya kauli zake hiyo haina mwisho mzuri
 
Kwani alipangiwa na nani watu wa kumshauri?

Kwani ukishauriwa lazima ufuate ushauri huo hata kama ni mbaya?
Kwani Kuna aliyejiuzulu? Maana kama kazi yako unayolipwa ni kushauri basi ukishauri na ushauri haufuatwi jamaa anapuyanga tuu unajiuzulu
 
Ameanza tena kututukania Mama zetu na mashangazi zetu kama yule mwendakuzimu.CCM kuna laana inawatafuna.
 
Kwani Kuna aliyejiuzulu? Maana kama kazi yako unayolipwa ni kushauri basi ukishauri na ushauri haufuatwi jamaa anapuyanga tuu unajiuzulu
Na kwa kuwa hakuna aliyejiuzulu kwa kukataliwa ushauri alioutoa basi hapa tukubaliane moja kuwa

Moja,Kila wanachomshauri anakubaliana nao huo ushauri wao ndiyo maana hawajajiuzuru na haya anayoyafanya ndo matokeo ya washauri wake wanaomshauri na kukubaliana nao kwa kila kitu.

Pili,AU kile wanachomshauri hakitekelezi anafanya maamuzi yake binafsi na haya ndio matokeo ya maamuzi yake binafsi na kwamba washauri wake licha ya kukataliwa ushauri wao wameshindwa kujiuzuru kulinda matumbo yao.

Sasa tukubaliane mojawapo ya hayo.
 
unamuigaje kagame? Mwenzie anachkua mipesa yamadini kibabe drc, alafu yy shule nibora,walimu wanalipwa vyema, uchumi ukopoa nchi ndogo, kajitangazia utalii vyema,viwanda had vyamagari, air Rwanda ikosaafi nk nk.
Sisi walimu wanateseka, miradi mingi haijaisha, elimu haijanyooka mtu unadumbukiza bilions kwenye mchezo usio na mvuto kwa mashabiki!! Mwanamke gani ameleta/ataleta fedha au sifa Kwa taifa kwenyesoka? kodizetu zitumike vyema maana tunakamuliwa sana mikodi hatutaki zichezewe huku wananchi tunateseka!! Umeingia ofisini hujajenga hata hospitali unaanzia mipira kweli? Au ni kutafuta umaarufu kisa mashindano yataitwa jinalako
 
unamuigaje kagame? Mwenzie anachkua mipesa yamadini kibabe drc, alafu yy shule nibora,walimu wanalipwa vyema, uchumi ukopoa nchi ndogo, kajitangazia utalii vyema,viwanda had vyamagari, air Rwanda ikosaafi nk nk.
Sisi walimu wanateseka, miradi mingi haijaisha, elimu haijanyooka mtu unadumbukiza bilions kwenye mchezo usio na mvuto kwa mashabiki!! Mwanamke gani early ameleta/ataleta fedha au sifa Kwanzaa taifa kwenyesoka? kodizetu zitumike vyema maana tunakamuliwa sana mikodi hatutaki zichezewe huku wananchi tunateseka!! Umeingia ofisini hujajenga hata hospitali unaanzia mipira kweli?
Hayo uliyomsifia Kagame una uhakika yako safi kama ulivyosema?


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mama kaona mnamsema vibaya sana mtandaoni ,kaona awe kiburi asiwasikilize,ni normal reaction mnavyomponda haisaidii mambo, shaurini nini kifanyike kwa upole
Magufuli alikuwa kiburi ila kilicho msaidia ni akili, ubunifu na uchapakazi
Sasa kiburi cha mama kitamtokea puani maana mama hana akili wala ubunifu wala uchapakazi
 
Mwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736
Amepitiwa, mbona Kuna wacheza mieleka na wapo na ndoa, anamanisha hata mtoto wake wa kike akicheza mpira anakosa sifa za kuolewa, mpira ni mazoezi na ni ajira ,kateleza sana
 
Hayo uliyomsifia Kagame una uhakika yako safi kama ulivyosema?


Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Jiongeze kiakili uulize vyamaana... Ninyi ndowale kitabu hujakielewa unaishia kujudge rangi ya kava!!
open your brain watoto wawatoto wako wasiishi kimaskini kamawewe, mwanamama anayumba ninyi kazi vigelegele vya ukiherehere...
 
Back
Top Bottom