Amelewa madaraka we mwache tu mbona huko nyuma alishawahi kuwepo mtu kama huyu? Yupo wapi sasa?Mwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736
Amelewa madaraka we mwache tu mbona huko nyuma alishawahi kuwepo mtu kama huyu? Yupo wapi sasa?Mwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736
Mama zile ni kauli zake yeye na hasa anapokua anaongea kwa freestyle hayo ni matokeo ya mfumo wa malezi kuwa kuna baadhi ya kazi au michezo ambayo mwanamke akishiriki anaonekana wa ajabu kwaiyo kauli ya mama ni reflection ya malezi na mitazamo katika jamii ya kitanzaniaKila Rais anapoonekana amekosea wanasingiziwa wasaidizi wake akifanya vizuri anapongezwa yeye
Kwa huu unafiki wa watanzania usitegemee tanzania kupiga hatua
Yule mwanaume aliyelala chato ni mtu pekee tuliyepewa kuibadilisha tanzania kwa wakati huu ila Mungu alimwita mapema tuombe atokee mwingne
Mnabore!!! Mnasifia Sifia mtu badala mumweleze ukweli ajirekebishe!! magu ametoka maccm yanaponda wakati alipokuwepo tukikosoa wanatusweka ndani nonsense kabisa! Nahuyu mnasubiri stole ndipo muongee kwasasa mnatafuta vyeo kwa kujipendekeza
Kuna sehem umeona nimemsifia mtu?Mnabore!!! Mnasifia Sifia mtu badala mumweleze ukweli ajirekebishe!! magu ametoka maccm yanaponda wakati alipokuwepo tukikosoa wanatusweka ndani nonsense kabisa! Nahuyu mnasubiri stole ndipo muongee kwasasa mnatafuta vyeo kwa kujipendekeza
Serikali imejikita kujadili mambo ya gender zaidi kuliko mambo ya msingi.Mwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736
Yes she did!... Loud and clear.WTF???!!!
Did she really say that?
Wewe ndio unamuwekea maneno mdomoni ,kwani alisema hayo unayomfafanulia? teuzi zimeisha ndugu pambana na hali yakoRais alikuwa na ujumbe mpana zaidi kulinganisha na namna mleta mada alivyoamua kwa makusudi kuupotosha.
Aliongelea baada ya miaka ya mpira kuwa imemalizika hao wachezaji wa timu ya wanawake watakuwa wameshachoka hivyo watazamwe wanasaidiwa vipi miaka hiyo ya mbeleni.
Nimemuangalia kwa urefu TBC asubuhi hii Ndio maana nimeandika nilivyoandika.Wewe ndio unamuwekea maneno mdomoni ,kwani alisema hayo unayomfafanulia? teuzi zimeisha ndugu pambana na hali yako
Sijaona shida na kauli yake kiukweli wachezaji wetu wa kike Wana sura za kiume hadi mwili inabidi wapimwe testorone level zao maana ni wanaume.Mwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736
Ukitulia utaielewaSasa io kauli inahusiana VP na mada
Kuibadilisha kwa kuuawatu?Kila Rais anapoonekana amekosea wanasingiziwa wasaidizi wake akifanya vizuri anapongezwa yeye
Kwa huu unafiki wa watanzania usitegemee tanzania kupiga hatua
Yule mwanaume aliyelala chato ni mtu pekee tuliyepewa kuibadilisha tanzania kwa wakati huu ila Mungu alimwita mapema tuombe atokee mwingne
hahahahaMwelekeo wa mheshimiwa mbona unatia mashaka? Siku zinavyo kwenda mbele ndivyo ambavyo anazidi kuonekana tofauti sana kwa kauli na matendo.
Jee ni washauri wabovu au hulka zake tuu?
View attachment 1903736