Tunaambiwa kila mtu ana uhuru wa kuabudu hivyo wewe amini tu huyo mungu wako haina shida na mimi nitamwamini ninayemwamini. Upo hapo..?Mungu ni dhana na shetani ni dhana. Usifungwe na utamaduni wa kimagharibi. Hata sisi tunaweza kuwa na mungu wetu siyo lazima huyo mungu aliyeletwa na wazungu na wewe ukakalilishwa bila kujua
Kabla ya wazungu kuja wazazi wako walikuwa wanaabudu mungu yupiMimi ninavyoelewa Mungu ni moja na ndiye aliyeumba vyote vilivyomo katika dunia hii, mimi siamini kama kuna Mungu wa wazungu na Mungu wa waafrika, kwa kifupi siamini ktk uwepo wa hao miungu unaosema.
Yaani kipimo kwa chadema. Wee jamaaMbona Lisu na Mbowe walikuwa wakizunguka kila mkoa na kuvalishwa minguo ya kimila mkawa mnashangilia?
Walikuwa wanaabudu Mungu.Kabla ya wazungu kuja wazazi wako walikuwa wanaabudu mungu yupi
Jamani muacheni ajaribu anacho jaribu majibu atayapata baadae...Tangu Rais Samia ashike madaraka amekuwa busy sana kuzing'ang'ania na kuzipigia debe siasa za kuwaenzi na kuuenzi utamaduni wa machifu na watemi hapa Tanzania. Hapa nitaweka kweli kadhaa kuhusu ubaya wa siasa hizo kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
1. Utamaduni wa watemi na machifu ni utamaduni wa kikabila na kikoo kwa 100%. Hawa hawafanani, hawakubaliani na hawakai chungu kimoja. Unalenga kuwagawa watanzania kuliko kuwaunganisha.
2. Utamaduni wa watemi na machifu umezungukwa na mfumo dume kwa karibu 100%. Kadri unavyopaliliwa ndivyo ambavyo mfumo dume unakuzwa na kuota mizizi kwenye jamii.
3. Kwa sehemu kubwa sana tamaduni za watemi na machifu zimejikita kwenye ubagani, matambiko, ushirikina na mambo ya kale. Sioni mantiki yoyote kwa serikali kuukumbatia sasa kwenye karne ya 21.
4. Kwa sehemu kubwa utamaduni wa tawala za machifu unakinzana na mifumo ya tawala rasmi za kiserikali na kisheria. Huwa ni vitu visivyoweza kwenda sambamba. Kuimarika kwa tawala rasmi za kiserikali automatically kuliua tawala za machifu na watemi, kuzifufua upya hizo tawala za machifu sasa ni kuhatarisha uwepo wa tawala rasmi za kisheria na kiserikali.
5. Utamaduni wa tawala za watemi na machifu kwa sehemu kubwa umedhoofika, kufifia, kuparaganyika au ulishakufa kwa jamii nyingi sana hapa Tanzania. Wengi watakaoibuka sasa na kuitwa watemi au machifu huenda watakuwa waganga wa kienyeji, wazee wa kikoo, matapeli (wazee wa fursa), wajumbe wa CCM wa nyumba kumi kumi (wazee wazee). Kiuhalisia utakuta sio watu halisi wa kuwakilisha watemi na machifu wa zama zile. Kuwakumbatia watu wa namna hiyo ni kupoteza muda na rasimali.
Wakulaumiwa ni washauri wake. Hii ni ku balcaniseTangu Rais Samia ashike madaraka amekuwa busy sana kuzing'ang'ania na kuzipigia debe siasa za kuwaenzi na kuuenzi utamaduni wa machifu na watemi hapa Tanzania. Hapa nitaweka kweli kadhaa kuhusu ubaya wa siasa hizo kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
1. Utamaduni wa watemi na machifu ni utamaduni wa kikabila na kikoo kwa 100%. Hawa hawafanani, hawakubaliani na hawakai chungu kimoja. Unalenga kuwagawa watanzania kuliko kuwaunganisha.
2. Utamaduni wa watemi na machifu umezungukwa na mfumo dume kwa karibu 100%. Kadri unavyopaliliwa ndivyo ambavyo mfumo dume unakuzwa na kuota mizizi kwenye jamii.
3. Kwa sehemu kubwa sana tamaduni za watemi na machifu zimejikita kwenye ubagani, matambiko, ushirikina na mambo ya kale. Sioni mantiki yoyote kwa serikali kuukumbatia sasa kwenye karne ya 21.
4. Kwa sehemu kubwa utamaduni wa tawala za machifu unakinzana na mifumo ya tawala rasmi za kiserikali na kisheria. Huwa ni vitu visivyoweza kwenda sambamba. Kuimarika kwa tawala rasmi za kiserikali automatically kuliua tawala za machifu na watemi, kuzifufua upya hizo tawala za machifu sasa ni kuhatarisha uwepo wa tawala rasmi za kisheria na kiserikali.
5. Utamaduni wa tawala za watemi na machifu kwa sehemu kubwa umedhoofika, kufifia, kuparaganyika au ulishakufa kwa jamii nyingi sana hapa Tanzania. Wengi watakaoibuka sasa na kuitwa watemi au machifu huenda watakuwa waganga wa kienyeji, wazee wa kikoo, matapeli (wazee wa fursa), wajumbe wa CCM wa nyumba kumi kumi (wazee wazee). Kiuhalisia utakuta sio watu halisi wa kuwakilisha watemi na machifu wa zama zile. Kuwakumbatia watu wa namna hiyo ni kupoteza muda na rasimali.
Hii Balkanisation/Kutugawa Kikabila ni hatari sana. Ila wa kulaumiwa ni WASHAURI wake maana wanampotosha.Chief Marialle huwa analetewa fedha kutoka kwa Malkia Elizabeth wa Uingireza.
Hivyo kitendo cha samia kuungana naye kuna upigaji mkubwa wa fedha kutoka UK. Na picha zitatumwa UK nyingi sana Leo
Kuuza wanajamii yao kwa wakoloni.Machifu walikuwa kwa sehemu kubwa vibaraka wa ukoloni. Wengi pia walitawala kwa mifumo ya kitapeli, kiwiziwizi, unyanyasaji, udikteta, uporaji nk.
Umeona eh watu wengine badala ya kumshukuru Mungu tena wanakumbushia machungu,hii ni ajabu kabisa.Ulipotaja Magufuli ndo ulipoharibu, kwa dunia ya wasitaarabu na yenye usitawi haiwezi kulilia kuongozwa na sadist Kama JPM. Taja mwingine plz, Kama Taifa tulikosea sana awamu ya tano, na Mungu akaamua kutuponya, usiturejeshe huko.
Anataka aweke legacy ya kurudisha uchifu, pia tunamuomba kule Zenj arudishe usultan.Tangu Rais Samia ashike madaraka amekuwa busy sana kuzing'ang'ania na kuzipigia debe siasa za kuwaenzi na kuuenzi utamaduni wa machifu na watemi hapa Tanzania. Hapa nitaweka kweli kadhaa kuhusu ubaya wa siasa hizo kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
1. Utamaduni wa watemi na machifu ni utamaduni wa kikabila na kikoo kwa 100%. Hawa hawafanani, hawakubaliani na hawakai chungu kimoja. Unalenga kuwagawa watanzania kuliko kuwaunganisha.
2. Utamaduni wa watemi na machifu umezungukwa na mfumo dume kwa karibu 100%. Kadri unavyopaliliwa ndivyo ambavyo mfumo dume unakuzwa na kuota mizizi kwenye jamii.
3. Kwa sehemu kubwa sana tamaduni za watemi na machifu zimejikita kwenye ubagani, matambiko, ushirikina na mambo ya kale. Sioni mantiki yoyote kwa serikali kuukumbatia sasa kwenye karne ya 21.
4. Kwa sehemu kubwa utamaduni wa tawala za machifu unakinzana na mifumo ya tawala rasmi za kiserikali na kisheria. Huwa ni vitu visivyoweza kwenda sambamba. Kuimarika kwa tawala rasmi za kiserikali automatically kuliua tawala za machifu na watemi, kuzifufua upya hizo tawala za machifu sasa ni kuhatarisha uwepo wa tawala rasmi za kisheria na kiserikali.
5. Utamaduni wa tawala za watemi na machifu kwa sehemu kubwa umedhoofika, kufifia, kuparaganyika au ulishakufa kwa jamii nyingi sana hapa Tanzania. Wengi watakaoibuka sasa na kuitwa watemi au machifu huenda watakuwa waganga wa kienyeji, wazee wa kikoo, matapeli (wazee wa fursa), wajumbe wa CCM wa nyumba kumi kumi (wazee wazee). Kiuhalisia utakuta sio watu halisi wa kuwakilisha watemi na machifu wa zama zile. Kuwakumbatia watu wa namna hiyo ni kupoteza muda na rasimali.
Dah kumbe bibi anatuma mzigo kwenye koloni lake? Hapo sawaChief Marialle huwa analetewa fedha kutoka kwa Malkia Elizabeth wa Uingireza.
Hivyo kitendo cha samia kuungana naye kuna upigaji mkubwa wa fedha kutoka UK. Na picha zitatumwa UK nyingi sana Leo
Wakati mwingine ifike mahali wasaidizi wa SSH wasimhusishe na watu wa ajabu..Nimewahi kuishi Moshi miaka mingi sana. Nawafahamu kwa kiasi fulani wachaga. Wakiwa mikoa mengine tofauti na kwao wachaga ni kama wamoja hivi lakini ukiwa kwao Kilimanjaro aisee hawa jamaa kila moja na kwao utasikia tu mimi mmarangu, mkibosho, mrombo, mmachame, mnarumu, muoldmoshi, muuru, msiha, mkiruwa n.k. Na kwa kiasi kikubwa hayo maeneo yote yana machifu/mangi/viongozi wao japo siku hizi hawana nguvu sana nje ya maeneo yao toka serikali ilipofuta hayo mambo ya machifu.
Maswali ya msingi hapa
1. Je hao mamangi/viongozi wa kila eneo walikaa lini na wapi wakakubaliana kuwa Mareale ndio mkuu wao?
2. Kuna kipindi si muda mrefu sana huyo Mareale alikuwa na kesi mahakamani na ndugu yake ya kugombea uchifu, je ilishaiisha na maamuzi
yalikuwaje
3. Na kama machifu wote wa Moshi walikubaliana kumualika mgeni rasmi mbona kwenye tangazo anatajwa tu Marealle kwa nini isiwe "chifu
mkuu Marealle kwa pamoja na machifu wenzake fulani na fulani wa Kilimnjaro wanamwalika mgeni rasmi ........... kwenye tamasha?
4. Shughuli nyingi za machifu huwa zinaambatana na shughuli za kishirikina na uganga wa jadi kwa kiasi fulani hili kila mtu anajua, je kwa mtu
ambaye ana imani na hofu ya Mungu kushiriki shughuli za hawa watu si kuchanganya mambo kweli?
Ni mtizamo tu.
Hizi siasa za kukumbatia viongozi wa kimila hazina tija kwa nchi yetu zama hizi.....kuna sehemu tunafeli tunapoendekeza hui usaniiChief anajumuika na wenzake.
Wanaoandaa events za Rais wajitahidi sana ili isionekane kuwa Rais anatafuta support ya wadau.Hizi siasa za kukumbatia viongozi wa kimila hazina tija kwa nchi yetu zama hizi.....kuna sehemu tunafeli tunapoendekeza hui usanii
Divide and rule; katika karne ya ishirini tupande basi la ukabila !Tangu Rais Samia ashike madaraka amekuwa busy sana kuzing'ang'ania na kuzipigia debe siasa za kuwaenzi na kuuenzi utamaduni wa machifu na watemi hapa Tanzania. Hapa nitaweka kweli kadhaa kuhusu ubaya wa siasa hizo kwa nchi yetu na vizazi vijavyo.
1. Utamaduni wa watemi na machifu ni utamaduni wa kikabila na kikoo kwa 100%. Hawa hawafanani, hawakubaliani na hawakai chungu kimoja. Unalenga kuwagawa watanzania kuliko kuwaunganisha.
2. Utamaduni wa watemi na machifu umezungukwa na mfumo dume kwa karibu 100%. Kadri unavyopaliliwa ndivyo ambavyo mfumo dume unakuzwa na kuota mizizi kwenye jamii.
3. Kwa sehemu kubwa sana tamaduni za watemi na machifu zimejikita kwenye ubagani, matambiko, ushirikina na mambo ya kale. Sioni mantiki yoyote kwa serikali kuukumbatia sasa kwenye karne ya 21.
4. Kwa sehemu kubwa utamaduni wa tawala za machifu unakinzana na mifumo ya tawala rasmi za kiserikali na kisheria. Huwa ni vitu visivyoweza kwenda sambamba. Kuimarika kwa tawala rasmi za kiserikali automatically kuliua tawala za machifu na watemi, kuzifufua upya hizo tawala za machifu sasa ni kuhatarisha uwepo wa tawala rasmi za kisheria na kiserikali.
5. Utamaduni wa tawala za watemi na machifu kwa sehemu kubwa umedhoofika, kufifia, kuparaganyika au ulishakufa kwa jamii nyingi sana hapa Tanzania. Wengi watakaoibuka sasa na kuitwa watemi au machifu huenda watakuwa waganga wa kienyeji, wazee wa kikoo, matapeli (wazee wa fursa), wajumbe wa CCM wa nyumba kumi kumi (wazee wazee). Kiuhalisia utakuta sio watu halisi wa kuwakilisha watemi na machifu wa zama zile. Kuwakumbatia watu wa namna hiyo ni kupoteza muda na rasimali.
Justification ya kipuuzi sana. Sijui kuwa kuna watu hapa JF wanaweza kuandika vitu vya kipuuzi namna hii.Chief Marialle huwa analetewa fedha kutoka kwa Malkia Elizabeth wa Uingireza.
Hivyo kitendo cha samia kuungana naye kuna upigaji mkubwa wa fedha kutoka UK. Na picha zitatumwa UK nyingi sana Leo