Rais Samia achana na siasa za watemi na machifu, ni hatari, hazikusaidii na hazilisaidii taifa

Huo ndio upofu wa kusoma mambo nusu nusus; Cheif marealle anayezungumzwa kwenye document la zamani hilo alifariki tangu mwaka mwaka 2007 akiwa na umri takriban miaka 92. Huyu anayeitwa Chief Marealle leo ni mmoja wa wajukuu zake tu, wala hajulikani zaidi ya hapo uchagani tu. Uksioma hayo madocument hayo ya zamani utakutana pia na jinsi walivyokuwa wanamhusudu Nyerere, hata alipokwenda kutembelea Uingereza, alipokelewa na malkia mwenyewe badala ya waziri mkuu!
 
Achana na hizo mambo za wazungu. Sisi huku tuendelee kuchawiana, kutoana mapepo, na kufanya sherehe, kula, kunywa, kucheza ngoma na mambo kama hayo.

Akili za viongozi wako hazina huo muda wa kuwaza mambo hayo. Hata ujenzi wa vyoo mpaka mzungu atume mpunga.
 
Amekwama Hangaya..
 
Toka lini tumeanza kuwapa nafasi wapiga ramli????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…