Kwa nini wafanyakazi hawajitetei wenyewe?Kuna kitu najiuliza sana ..
Hivi hawa wafanya biashara wanajua wafanyakazi zigo la kodi wanalobeba...!??
Watanganyika ni kondoo!Ubabe haukuwai shinda popote ,tulipofika ili swala serikali isilibebe kimia kimia , linaitaji mjadala wa kitaifa ili tujue tunatoka vipi katika mkwamo huu , wafanyabiashara wana hoja zao , tukae kama taifa na kutoka na majibu
Ingekuwa hivyo wafanyabiashara wote wangeshafunga maduka kitambo.Faida ipo ila haimfanyi asogee mbele anabaki tu pale pale kama ilivyo Kwa mshahara wa mtumishi wa ummaVaa viatu vya mfanyabiashara, pewa pesa yako yote ya mshahara upeleke mwisho wa mwezi PAYE ukichelewa lipa fine na ukinunua chochote chukua 18% uipe serikali ukichelewa dk 1 fine.
Wafanyabiashara wanalia Kodi kubwa sana kuliko watumishi wa umaKuna kitu najiuliza sana ..
Hivi hawa wafanya biashara wanajua wafanyakazi zigo la kodi wanalobeba...!??
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF
Me naona nimeseme neno moja tu
Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi
Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?
Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu
Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?
Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?
Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena
Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Ingekuwa hivyo wafanyabiashara wote wangeshafunga maduka kitambo.Faida ipo ila haimfanyi asogee mbele anabaki tu pale pale kama ilivyo Kwa mshahara wa mtumishi wa umma
Ujeuri wa serikali halitakiwa jibu la kutatua tatizo. Wananchi wa 2024 siyo wa 1947Sawa mwisho umefika wafunge maduka yote mwaka mzima
Kila serikali hapa duniani inatoa ahadi
Hata wafanyakazi wamepewa ahadi
Ahadi means tunajua shida yenu tunashughulikia
Sasa wakigoma ndio serikali inafanya?
Achana nae tujadili mambo ya msingi . Huenda anakula Kwa shemeji๐๐๐๐๐. Nchi ataendesha kwa kodi za bodaboda?
Machawa ni wahujumu uchumi wa taifa ,yanyongweWatanganyika ni kondoo!
Mama yako akiendelea kusikiliza ushauri wa kilaza mwigulu atakumbana na yanayotokea huko kenyaMheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF
Me naona nimeseme neno moja tu
Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi
Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?
Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu
Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?
Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?
Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena
Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Pumbavu huna akili,uchawa ndo unakutesaThat's why nashauri serikali ikae kimyaaa isifanye anything
Mpaka wenyewe wakiamua kurudi au kutokurudi kabisa
We chawa wa nyota 0.5Hizo ndio fact hakuna uchawa hapo
kwani kuna shida shida wafayakazi wakidai nyongeza ya mshahara toka kwa mwajiri?Hawa watu wanakera, au ww hauna changamoto kwenye Eneo lako?
So na ww utagoma? Kila mtu agome?
Wakidekezwa hawa kesho wanakuja wafanyakazi wanataka more salary
No way
Kwaiyo kuwa nachangamoto zinazoweza kutatulika maeneo yakazi nahazitatuliki unaona nijambo lakujisifia?? Acha upambafu dogoHawa watu wanakera, au ww hauna changamoto kwenye Eneo lako?
So na ww utagoma? Kila mtu agome?
Wakidekezwa hawa kesho wanakuja wafanyakazi wanataka more salary
No way
๐๐ก๐๐ฆ๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฌ๐๐ซ๐ข๐ค๐๐ฅ๐ข ๐ข๐๐ง๐ ๐๐ฅ๐ข๐ ๐ฆ๐๐ข๐ง๐ฎ ๐ง๐ ๐ง๐ฃ๐ข๐๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ก๐ข๐ข ๐ฆ๐ข๐ ๐จ๐ ๐จ๐ซ๐จMheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF
Me naona nimeseme neno moja tu
Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi
Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?
Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu
Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?
Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?
Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena
Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
๐๐ก๐๐ฆ๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐ฌ๐๐ซ๐ข๐ค๐๐ฅ๐ข ๐ข๐๐ง๐ ๐๐ฅ๐ข๐ ๐ฆ๐๐ข๐ง๐ฎ ๐ง๐ ๐ง๐ฃ๐ข๐๐๐๐๐๐ฅ๐ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ก๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ก๐ข๐ข ๐ฆ๐ข๐ ๐จ๐ ๐จ๐ซ๐จ