Rais Samia aepuke kufanya mambo ya kitaifa kimyakimya ni ishara ya kukosa uwazi na kutokujiamini

Rais Samia aepuke kufanya mambo ya kitaifa kimyakimya ni ishara ya kukosa uwazi na kutokujiamini

Juzi tumemsikia Raila Odinga akisema rais Samia alikwenda Nairobi kwa lengo la kuwapatanisha Raila na Odinga katika tafrani zao za kisiasa.

Sisi watanzania tunajiuliza inakuwaje rais wetu kwenda nchi nyingine kufanya jambo la kisiasa mathalani kufanya upatanishi kimyakimya?

Kwani kulikuwa na haja gani ya kuficha jambo kama hilo ilhali halina athari kwa usalama kwake au kwa nchi? Mbona Odinga ameliweka wazi jambo hilo?

Tumeona pia rais wetu akifanya makubaliano makubwa kabisa na Dubai kuhusu bandari yetu. Mkataba huo haukujulikana hata na watu muhimu serikalini hadi mzalendo mmoja alipouvujisha!

Je, ni mambo mangapi yanafanywa kimyakimya na rais na serikali yake pengine bila ya kuwa na faida zozote kwa watanzania?

Kwa mfano ndege yetu uliyokuwa imekamatwa Uholanzi iliachiliwa mwezi uliopita lakini hatukuambiwa nchi imelipa kiasi gani.

Tafadhali Rais Samia acha usiri katika mambo ambayo taifa linapaswa kufahamu.
Achana na hayo juzi kazi ndege ya rais imeonekana mashariki ya kati na hatuna taarifa
 
Juzi tumemsikia Raila Odinga akisema rais Samia alikwenda Nairobi kwa lengo la kuwapatanisha Raila na Odinga katika tafrani zao za kisiasa.

Sisi watanzania tunajiuliza inakuwaje rais wetu kwenda nchi nyingine kufanya jambo la kisiasa mathalani kufanya upatanishi kimyakimya?

Kwani kulikuwa na haja gani ya kuficha jambo kama hilo ilhali halina athari kwa usalama kwake au kwa nchi? Mbona Odinga ameliweka wazi jambo hilo?

Tumeona pia rais wetu akifanya makubaliano makubwa kabisa na Dubai kuhusu bandari yetu. Mkataba huo haukujulikana hata na watu muhimu serikalini hadi mzalendo mmoja alipouvujisha!

Je, ni mambo mangapi yanafanywa kimyakimya na rais na serikali yake pengine bila ya kuwa na faida zozote kwa watanzania?

Kwa mfano ndege yetu uliyokuwa imekamatwa Uholanzi iliachiliwa mwezi uliopita lakini hatukuambiwa nchi imelipa kiasi gani.

Tafadhali Rais Samia acha usiri katika mambo ambayo taifa linapaswa kufahamu.
Anajifanya kuijua nchi kuliko wenye nchi wenyewe , atajua hajuhi
 
Juzi tumemsikia Raila Odinga akisema rais Samia alikwenda Nairobi kwa lengo la kuwapatanisha Raila na Odinga katika tafrani zao za kisiasa.

Sisi watanzania tunajiuliza inakuwaje rais wetu kwenda nchi nyingine kufanya jambo la kisiasa mathalani kufanya upatanishi kimyakimya?

Kwani kulikuwa na haja gani ya kuficha jambo kama hilo ilhali halina athari kwa usalama kwake au kwa nchi? Mbona Odinga ameliweka wazi jambo hilo?

Tumeona pia rais wetu akifanya makubaliano makubwa kabisa na Dubai kuhusu bandari yetu. Mkataba huo haukujulikana hata na watu muhimu serikalini hadi mzalendo mmoja alipouvujisha!

Je, ni mambo mangapi yanafanywa kimyakimya na rais na serikali yake pengine bila ya kuwa na faida zozote kwa watanzania?

Kwa mfano ndege yetu uliyokuwa imekamatwa Uholanzi iliachiliwa mwezi uliopita lakini hatukuambiwa nchi imelipa kiasi gani.

Tafadhali Rais Samia acha usiri katika mambo ambayo taifa linapaswa kufahamu.
Samia msikivu na mwanademocrasia ,alisikika kila mmoja akisema hivyo
 
Kitu cha kustajabisha Rais wa nchi anasafiri kimya kimya bila kutoa taarifa kwa wananchi yuko nchi gani! Leo tunaambiwa yuko Dubai next tunaambiwa yuko Saudia without any explanation to the nation! There must be something wrong somewhere!!
Samia ana matatizo yamezidi uwezo wake! Tumezoea kuambiwa Rais wetu amesafiri kwenda mahala fulani: kama Samia anasafiri bila kutoa taariafa hivyo nchi haitakuwa liable kwa lolote litakalompata huko anakotangatanga!
Anaona aibu ,kwa kushupalia mambo ya hivyo ,hii ni nchi au familia
 
Wewe tulia, tazama tovuti ya Ikulu. Una mcho hayaoni> Una masikio hayasikii?

La bandari mtaumia sana, haliongelei kabisa, yeye kishamaliza kzi yake hapo, sasa kuna kina Mkumbo na Wakurugenzi wa bandari, mjuwane nao hao.
Hatari!
 
Kiongozi alochaguliwa na watu kuwatumikia na akaapa mbele za Mwenyezi Mungu na Wanadamu kwa kushika kitabu Kitakatifu halafu uwakane wananchi usema wasikupangie cha kufanya?

Au ukawa Dhalimu kwa kuonea watu na kutowapa watu haki zao?

Unazani utabaki salama?


Hautapata furaha na amani hata usafiri kila nchi kutafuta stress relief.


Furaha Na amani vina uhusiano wa karibu na afya ya mtu hususa ya moyo wake.

Amani na Furaha ni kwa kufanya kazi Kwa uadilifu, bidii, maono mema, HAKI. N.k

Kule kuapa ni mtihani mkubwa kuliko maelezo.
 
Tangu Uhuru kila Rais wa awamu zote amekuwa akihutubia Taifa kila mara kwa reasonable interval na pale panapotokea sintofahamu kwa Taifa .

Na kuhutubia Taifa ni takwa la kikatiba na sio utashi wa Kiongozi Mkuu.

Hata Viongozi wa chini wa idara za serikali kama vile IGP, CDF, CEOs wote wa taasisi za Umma wanao wajibu wa kuhabarisha Umma wa taarifa za mambo mbalimbali Na yale nyeti ya sintofahamu kama la DP World.

Kukaa kimya kunaleta tafsiri nyingi ambazo nyingine sio sahihi.
 
Tena sio kusema sijui kuongea Na wazee ,

Inapaswa kuongea Na Umma direct kupitia vyombo vya Habari na ikibidi na Waandishi wa habari.
 
Juzi tumemsikia Raila Odinga akisema rais Samia alikwenda Nairobi kwa lengo la kuwapatanisha Raila na Odinga katika tafrani zao za kisiasa.

Sisi watanzania tunajiuliza inakuwaje rais wetu kwenda nchi nyingine kufanya jambo la kisiasa mathalani kufanya upatanishi kimyakimya?

Kwani kulikuwa na haja gani ya kuficha jambo kama hilo ilhali halina athari kwa usalama kwake au kwa nchi? Mbona Odinga ameliweka wazi jambo hilo?

Tumeona pia rais wetu akifanya makubaliano makubwa kabisa na Dubai kuhusu bandari yetu. Mkataba huo haukujulikana hata na watu muhimu serikalini hadi mzalendo mmoja alipouvujisha!

Je, ni mambo mangapi yanafanywa kimyakimya na rais na serikali yake pengine bila ya kuwa na faida zozote kwa watanzania?

Kwa mfano ndege yetu uliyokuwa imekamatwa Uholanzi iliachiliwa mwezi uliopita lakini hatukuambiwa nchi imelipa kiasi gani.

Tafadhali Rais Samia acha usiri katika mambo ambayo taifa linapaswa kufahamu.
Huyu alifaa kuwa mama wa nyumbani. Katiba mbovu ndiyo imemweka pale. Hana uwezo.
 
Kuwapasha Habari wananchi ni takwa la kikatiba na sio utashi Wa kiongozi.

Hususa inapaswa kufanyika regularly na hususa kunapokuwa na sintofahamu Kama ya DP Word n.k.
 
Back
Top Bottom