Usidhani mimi ni chizi kama ulivyo wewe, na ukome kabisa.Mtaka ni mtu wa sifa amini hilo
Chalamila hqjawahi hata siku moja kuwa sukuma gang. Acha kujifariji. Yule ji mnyalukolo hana unasaba Wala uhusiano na uSukuma. Kama hujui maana ya sukuma gang uliza ujibiweHahaha hata kwa Chalamila mlisema hivyohivyo (Sukuma Gang) ila leo karudishwa mnasema ilikuwa ni misinterpretation ya kauli zake, nyinyi tulieni tu hawa CCM wana namna yao ya kupeana ulaji.
We noma.Ukute hata ulivyokuwa unabebwa na V8 ukukumbuka kununua hata Suv.Atakuwa alikwisha jiandaa kisaikolojia...
Its a game of thrones! Leo yuko huyu, kesho yuko yule...
Leo uko kwenye kiyoyozi, kesho uko kwenye mionzi, unapigwa na jua.
Leo unafunguliwa mlango wa V8, kesho unashika bomba kwenye DCM la Gongo la Mboto.
#HalimaOmariDendegoKama ni Halima Ndendegu,sina lakusema
nafasi yake upewe wewe, sawa!Kafulila kaliwa kichwa saaafi
Unajua ni kwa nini? Subiri uone picha yake halisi.Dhana ya mikoa ya pembeni kuongozwa na wanajeshi imekufa.
Mzazi mwenza huyo wa Msoga guy.hivi Tanganyika yetu zaidi ya NGONO kuna kipi zaidi cha kujivunia kama taifa?
Kuna member mmoja kasema eti huyu ni hawara wa Mkwere, nami nikasema ngoja nimuulize google......nilipoangalia picha tu nimeishia kucheka!
View attachment 2307093
Akili yako inawaza udini tu 😯Ngoja nijidai uteuzi watu wengi wa upande wa mbalamwezi na nyota sijauona
Mbalamwezi na nyota 'kobazi' oyeee
Misalaba na Rozali ziii
Full stop.
Unateseka sana sisterChalamila hqjawahi hata siku moja kuwa sukuma gang. Acha kujifariji. Yule ji mnyalukolo hana unasaba Wala uhusiano na uSukuma. Kama hujui maana ya sukuma gang uliza ujibiwe
HAPPI SAFI ALIWATUKANA WAZEE BLOODFOOLAlly Hapi wamemtapika.
Amelala akiamka atakutana na meseji za pole
Nyie mnaopenda kumzushia hizo porojo JK ,2015 mlituponza JK akatukomesha kuliachia LIJIWE lichukue nchi ,mkianza Tena kumchafua Kwa uongo wenu ,anamwachia SSH apange vingaingai vyake ,huyo mama SSH watu anaowajuwa ni wale waliokuwa na JIWEMzazi mwenza huyo wa Msoga guy.
Hawafiki level hiyo hata siku moja, mafao ni makubwa sana, na huwa wamevuna hasaAtakuwa alikwisha jiandaa kisaikolojia...
Its a game of thrones! Leo yuko huyu, kesho yuko yule...
Leo uko kwenye kiyoyozi, kesho uko kwenye mionzi, unapigwa na jua.
Leo unafunguliwa mlango wa V8, kesho unashika bomba kwenye DCM la Gongo la Mboto.
Samaki karudishwa baharini
Generali Mbuge