Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Mtaka ni mtu wa sifa amini hilo
Usidhani mimi ni chizi kama ulivyo wewe, na ukome kabisa.

Eleza nikuelewe; utaniambiaje "amini hilo" bila maelezo. Hizi bangi usiwe unazileta hadi huku kwenye mijadala muhimu.

'Countrywide', ndio kitu gani, kama siyo bangi hizo!
Siku nzima, kila siku unajaza takataka humu JF, huoni aibu?
 
Hahaha hata kwa Chalamila mlisema hivyohivyo (Sukuma Gang) ila leo karudishwa mnasema ilikuwa ni misinterpretation ya kauli zake, nyinyi tulieni tu hawa CCM wana namna yao ya kupeana ulaji.
Chalamila hqjawahi hata siku moja kuwa sukuma gang. Acha kujifariji. Yule ji mnyalukolo hana unasaba Wala uhusiano na uSukuma. Kama hujui maana ya sukuma gang uliza ujibiwe
 
Atakuwa alikwisha jiandaa kisaikolojia...
Its a game of thrones! Leo yuko huyu, kesho yuko yule...

Leo uko kwenye kiyoyozi, kesho uko kwenye mionzi, unapigwa na jua.
Leo unafunguliwa mlango wa V8, kesho unashika bomba kwenye DCM la Gongo la Mboto.
We noma.Ukute hata ulivyokuwa unabebwa na V8 ukukumbuka kununua hata Suv.
 
Chalamila hqjawahi hata siku moja kuwa sukuma gang. Acha kujifariji. Yule ji mnyalukolo hana unasaba Wala uhusiano na uSukuma. Kama hujui maana ya sukuma gang uliza ujibiwe
Unateseka sana sister
 
Waliotemwa wameandaliwa kazi nyingine ya hadhi hiyo hiyo au bora zaidi.

Mbona CHALAMILA karudi ?

Mbona SIRRO kazawadiwa ubalozi ?

JPM alisema ma vyeo yapo ya kumwaga. Watu wachache wa Tabaka Tawala hawawezi kutemana kwa sababu mavyeo ya kugawana hawawezi kuyamaliza.
 
Hivi huwa wanaandaliwa/ kupewa taarifa kua utaachia ngazi hivi karibuni au unaliwa kichwa kimya kimya!?

Kama ni kimya kimya tu unastukia mkeka huu apa aisee unawea kufa presha 😀😀
 
Mzazi mwenza huyo wa Msoga guy.
Nyie mnaopenda kumzushia hizo porojo JK ,2015 mlituponza JK akatukomesha kuliachia LIJIWE lichukue nchi ,mkianza Tena kumchafua Kwa uongo wenu ,anamwachia SSH apange vingaingai vyake ,huyo mama SSH watu anaowajuwa ni wale waliokuwa na JIWE
 
Mtaka analumbana na mawaziri, tena yuko centre city ya nchi. Ajiandae kuondoka moja kwa moja
 
Atakuwa alikwisha jiandaa kisaikolojia...
Its a game of thrones! Leo yuko huyu, kesho yuko yule...

Leo uko kwenye kiyoyozi, kesho uko kwenye mionzi, unapigwa na jua.
Leo unafunguliwa mlango wa V8, kesho unashika bomba kwenye DCM la Gongo la Mboto.
Hawafiki level hiyo hata siku moja, mafao ni makubwa sana, na huwa wamevuna hasa
 
Back
Top Bottom