Generali wa Mchongo wa MwendakuzimuSamaki karudishwa baharini
Generali Mbuge
Brigadier Gaguti, na yeye Karudishwa Jeshini baada ya ku Fail Mtwaraaliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mtwara (Alitokeaga Kagera) mbona simuoni kwenye orodha?
Sukuma.GangRobert Gabriel kaachwa
Mama hataki utawala wa kivitaBrig. Gen. Marco Gaguti
Brig. Gen. Mbuge
Nini kimewasibu hawa mapoti?
Nyie mnaopenda kumzushia hizo porojo JK ,2015 mlituponza JK akatukomesha kuliachia LIJIWE lichukue nchi ,mkianza Tena kumchafua Kwa uongo wenu ,anamwachia SSH apange vingaingai vyake ,huyo mama SSH watu anaowajuwa ni wale waliokuwa na JIWE
Mtaka analumbana na mawaziri, tena yuko centre city ya nchi. Ajiandae kuondoka moja kwa moja
Hao ndio wanaohonga mashoga kila leo.Kwanza huko serikalini nani msafi?? 90% ya viongozi ni HOMO.
Kila mtu atabeba msalaba wake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaamka unakuta walinzi hawapo lindoni ukiuliza wako wapi haus gelo anakujibu 'ni mimi tu nimebaki ili kukupasha habari.
Kuna swali nimeuliza huko, kwa vigezo vyako yupi mkuu wa mkka kafaulu?Brigadier Gaguti, na yeye Karudishwa Jeshini baada ya ku Fail Mtwara
Alibyopanda mbuge ni kama alivyopanda Mkunda, ukiwa na nafasi flani kusogea nafasi nyingine ni rahisi. Kama mbuge angekua colonel alafu akapanda hadi major general basi kweli shida ingekuwepo. Ila cheo alichokua nacho ana alivyopanda ni halali kabisaGenerali wa Mchongo wa Mwendakuzimu
Alipanda ranks bila kufuata utaratibu wa Jeshi.
Ndio Maana baada ya Mwendakuzimu kurudi kwao, System ya Jeshi ikamtema
Alikuwa Mkuu wa JKT, SASA atarudi kusoma Magazeti tu
Ally hapi ni msukuma? Au sabaya ni msukuma?Chalamila hqjawahi hata siku moja kuwa sukuma gang. Acha kujifariji. Yule ji mnyalukolo hana unasaba Wala uhusiano na uSukuma. Kama hujui maana ya sukuma gang uliza ujibiwe
Hebu tumuombee dua huyu mdau naye wamuone sasa. Miaka inapita teuzi zinafanyika lakini jina la paschal Mayala halionekani.Pashal Mayalla amekosa tena
Hao uliowataja ndiyo members wa sukuma gang?Ally hapi ni msukuma? Au sabaya ni msukuma?