Heri Nguo Kuraluka lakini Sio Akili , Mwanadamu akoswapo akili kiasi Cha kushindwa kujitambua na kuachia wengine ndio wamfanye ajitambue , Huishia kua kama Daladala.
Labda niwaweke sawa, HANGAYA hakubaliki Kanda ya Ziwa Kwa sababu tu Kanda ya Ziwa ni watu werevu wenye macho, masikio , na Akili .
HANGAYA hakubaliki Kanda ya Ziwa sio sababu ya Akina Happi , Kafulila !!
Umedanganywa kua Wakuu Hawa wa Mikoa hawachukui JITIHADA za makusudi kukusafisha ili ukubarike , kisa tu ni Waumini wa Falsafa za JPM yaan Wazalendo wenye zero tolerance linalokuja suala la Rushwa, Ufisadi .
HANGAYA kwakua Toka utoto wake inajulikana ana uwezo Mdogo wa kichwa , uswahili mwingi, ameishia kua Sehem ya kujipigia tu .
HANGAYA, NA GENGE LAKO, HAMKUBARIKI KANDA YA ZIWA, HATA MPELEKE WAKUU WA MIKOA WALOWAAMINIFU KWENYE KUNDI LENU, HAMUAMINIKI NA HAMTAAMINIKA SABABU NYINYI NI WANAFIKI.