Rais Samia afanya Mabadiliko ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji Serikali za Mitaa

Teh teh 😂😂😂 noma sana hii, haaa haaaa😃😃
We acha tu, haiingii akilini! 😁😁😅😌
.....halafu bado jobless watakao tolewa mule ili kuleta "ufanisi"

Subiri....Kariakoo cha mtoto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu alitumbuliwa na Magu, leo katupwaa home kwetuu, bora angepelekwa Handeni kwa baby mama wake kidotiii.
Huko miuno ya kingoni itamuua🤣🤣🤣
 
Jamani mliosoma hii habari mmemwona Pasko bin Mayalla?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Itakuwa connection kuna mahala nyaya zimeachia[emoji1787]
Kabisaaaa maana hao hapo wote ni wale wale watoto wa mjini na Wa vigogo unyama sanaaa....
Naanza kuwa chawa na Mimi
Nyaya zimeachia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…