Rais Samia afanya Mabadiliko ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji Serikali za Mitaa

Rais Samia afanya Mabadiliko ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji Serikali za Mitaa

Unapitia majina unagundua viongozi waliopo na waliopita watoto wao wameshakua na sasa wameanza kuwaingiza kwenye systems za Gavoo.
Majina mengi ni very common, kama siyo kwenye siasa basi kwenye majeshi yetu. Hadi watoto wa akina Nnape wameshakua sasa
Huyo ni mdogo wake Nape siyo mtoto wake!
 
Aliyekuwa mkurugenzi wa mkuranga hana chembe ya maadili ya kazi wamemtoa hafai yule na hajui uongozi wamepelekwa Igunga kazi wanayo
Igunga aje vizuri, vinginevyo atakuwa anaamka yuko majaruba anapalilia au anavuna mpunga!
 
Kuna Ma Ded, walopata Hati Safi, ila Wameondolewa kwakua walikua na Uhusiano wa Moja Kwa Moja na Serikali ya JPM.


Kuna Maded walochaguliwa na Samia siku za nyuma Kisha akawatumbua Kwa Ufisadi, Maajabu Sasa amewarudisha Tena ,Sasa Sijui wamemuahidi hawatorudia 🤣🤣.


Sina hakika sana, kama angalau anajua kua Kuna watu kawateua ,ndio walewale alowafukuza ...Sina hakika sana maana SI MSOMI.



AMININI NAWAMBIA, SSS HUYU HUWA HASOMI, HANA KUMBUKUMBU, KAZI YAKE NI KUSAINI TU AKILETEWA , NI HATARI SANA NCHI KUONGOZWA NA MWANAMKE, NI HATARI SANA.
 
Imebakia kuteua wakurugenzi njaa wakaibe kura 2025. Ujinga mwingi.
 
naona NTELA MWAMPAMBA hapo! mzee wa kudandia wake za watu! songea ukimwi nje nje kila la kheri malaya wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu alitumbuliwa na Magu, leo katupwaa home kwetuu, bora angepelekwa Handeni kwa baby mama wake kidotiii.
 
Magufuli kumbe alimpa mwanae Ruth,ukatibu tawala. Yule aliyekuwa Kisarawe hajarudishwa tu kwenye ukatibu tawala, yule alitolewa na Magufuli kisa alimkula Jocate.
Kapelekwaa Kwetu Songea. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tunawakumbusha Swala la Uteuzi na Fei Kwenda Azam lisitutoe kwenye BANDARI KUCHUKULIWA NA KINA ABIBII.
 
Kwenye majina ya wakurugenzi namba 98 naona mzimu wa moses nauye unazidi weka mizizi haya bwana peaneni tu tutafanyaje sasa nchi yenu hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu asiwaondoeni kwenye Reli.

Bandari Inauzwa Bandari Inauzwa
Hao hao hao Kamata hao, kamata hao, shika hao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaaa
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.

Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.

Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641

View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663
Hiki ndo anakiuweza kwa 100%
 
Kila la heri kwa wateuliwa aaamin[emoji120]

Mh.Rais SSH ana nia njema ya maendeleo ya taifa letu pendwa [emoji106]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Back
Top Bottom