Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Asante Kwa taarifaNarudia huna Kadi huwezi pata hivyo vyeo even ukuu wa idara,hii ilibadilishwa rasmi na Mwendazake na inaendelezwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante Kwa taarifaNarudia huna Kadi huwezi pata hivyo vyeo even ukuu wa idara,hii ilibadilishwa rasmi na Mwendazake na inaendelezwa.
Huyo ni mdogo wake Nape siyo mtoto wake!Unapitia majina unagundua viongozi waliopo na waliopita watoto wao wameshakua na sasa wameanza kuwaingiza kwenye systems za Gavoo.
Majina mengi ni very common, kama siyo kwenye siasa basi kwenye majeshi yetu. Hadi watoto wa akina Nnape wameshakua sasa
Igunga aje vizuri, vinginevyo atakuwa anaamka yuko majaruba anapalilia au anavuna mpunga!Aliyekuwa mkurugenzi wa mkuranga hana chembe ya maadili ya kazi wamemtoa hafai yule na hajui uongozi wamepelekwa Igunga kazi wanayo
So huyo Ruth ALIPACHIKWA kwenye nafasi na mzee wake.Ni mtoto wa Magufuli wa kuzaa na marehemu mkewe yule wa kwanza.Ruth ni katibu Tawala Morogoro, tokea Baba yake akiwa hai.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyu alitumbuliwa na Magu, leo katupwaa home kwetuu, bora angepelekwa Handeni kwa baby mama wake kidotiii.naona NTELA MWAMPAMBA hapo! mzee wa kudandia wake za watu! songea ukimwi nje nje kila la kheri malaya wewe
Kapelekwaa Kwetu Songea. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Magufuli kumbe alimpa mwanae Ruth,ukatibu tawala. Yule aliyekuwa Kisarawe hajarudishwa tu kwenye ukatibu tawala, yule alitolewa na Magufuli kisa alimkula Jocate.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lucas Mshamba halmashauri ya jamii forum
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye majina ya wakurugenzi namba 98 naona mzimu wa moses nauye unazidi weka mizizi haya bwana peaneni tu tutafanyaje sasa nchi yenu hii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaaaaaaHuyu asiwaondoeni kwenye Reli.
Bandari Inauzwa Bandari Inauzwa
Hao hao hao Kamata hao, kamata hao, shika hao
Na wamezaa pia.Kumtoa hakusaidia kitu maana anaendelea kumkula as long as mwengelo alimpenda ataendelea kumpa tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sahivi mke wake wamemzalisha kabisa [emoji1787]
Kabisaaa yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Km kwenye huu mkeka Hauna hata mmoja unaemjua angalia connection zako
Narudia huna Kadi huwezi pata hivyo vyeo even ukuu wa idara,hii ilibadilishwa rasmi na Mwendazake na inaendelezwa.
Unauliza ndevu kwa Osama?So huyo Ruth ALIPACHIKWA kwenye nafasi na mzee wake.
Hiki ndo anakiuweza kwa 100%Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.
Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.
Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641
View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663