Rais Samia afanya Mabadiliko ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji Serikali za Mitaa

Rais Samia afanya Mabadiliko ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji Serikali za Mitaa

Magufuli kumbe alimpa mwanae Ruth,ukatibu tawala. Yule aliyekuwa Kisarawe hajarudishwa tu kwenye ukatibu tawala, yule alitolewa na Magufuli kisa alimkula Jocate.
Kumtoa hakusaidia kitu maana anaendelea kumkula as long as mwengelo alimpenda ataendelea kumpa tu
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.

Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.

Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641

View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663
Maandalizi ya wizi wa kura
 
Huko kisarawe ni Wamama watupu kuanzia mkuu wa wilaya, katibu tawala, mkurugenzi, wakuu wa idara.....hata Kama 50/50 sio poa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yana mwisho wake
 
Tuwekee na mkeka wa wakurugenzi. Maana kuna kama mama kamoja hivi snitch nilizinguana nako.

Nataka nione kama na kenyewe kamehamishwa kutoka Halmashauri fulani hivi. Maana siyo kwa kujisikia kule.
kapo au
 
Hawez pewa cheo kidogo kama hicho, atakuwa either majina yanafanana au ndugu tu Kwa mbali
Huyo ni mtoto wa Magufuli kabisa. Ushahidi ni huu hapa waziri Kabudi akisoma historia ya mwendazake wakati wa msiba wake.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.

Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.

Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641

View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663
Wakurugenzi wamebaki kwenye vituo vya kazi ila mkeka umetolewa leo.

Saa100 ni Rais wa ajabu duniani.
 
Huyu asiwaondoeni kwenye Reli.

Bandari Inauzwa Bandari Inauzwa
Hao hao hao Kamata hao, kamata hao, shika hao
Haiwezi kuuzwa kwa sababu Mkataba unapitia Bungeni. Ni ubia, na mkataba lazima utakuwa mzuri sana
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.

Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.

Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641

View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663
Duuuu mbona kama Imani Moja tupu au nmeona Mimi pekeangu?
 
Aliyekuwa mkurugenzi wa mkuranga hana chembe ya maadili ya kazi wamemtoa hafai yule na hajui uongozi wamepelekwa Igunga kazi wanayo
 
Back
Top Bottom