Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumtoa hakusaidia kitu maana anaendelea kumkula as long as mwengelo alimpenda ataendelea kumpa tuMagufuli kumbe alimpa mwanae Ruth,ukatibu tawala. Yule aliyekuwa Kisarawe hajarudishwa tu kwenye ukatibu tawala, yule alitolewa na Magufuli kisa alimkula Jocate.
😂😂😂😂😂😂Mkurugenzi wangu kapigwa chini alikua anabana sana kutusainia madokezo yetu mjinga yule
Maandalizi ya wizi wa kuraRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.
Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.
Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641
View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663
Yana mwisho wakeHuko kisarawe ni Wamama watupu kuanzia mkuu wa wilaya, katibu tawala, mkurugenzi, wakuu wa idara.....hata Kama 50/50 sio poa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wazee wa kufadhili Nepotism.
kapo auTuwekee na mkeka wa wakurugenzi. Maana kuna kama mama kamoja hivi snitch nilizinguana nako.
Nataka nione kama na kenyewe kamehamishwa kutoka Halmashauri fulani hivi. Maana siyo kwa kujisikia kule.
Sahivi mke wake wamemzalisha kabisa 🤣Magufuli kumbe alimpa mwanae Ruth,ukatibu tawala. Yule aliyekuwa Kisarawe hajarudishwa tu kwenye ukatibu tawala, yule alitolewa na Magufuli kisa alimkula Jocate.
Huyo ni mtoto wa Magufuli kabisa. Ushahidi ni huu hapa waziri Kabudi akisoma historia ya mwendazake wakati wa msiba wake.Hawez pewa cheo kidogo kama hicho, atakuwa either majina yanafanana au ndugu tu Kwa mbali
98Namba ngapi?
#YNWA
Kamehamishwa. Na tetesi zilitoka hata kabla ya huu mkeka.kapo au
Wakurugenzi wamebaki kwenye vituo vya kazi ila mkeka umetolewa leo.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.
Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.
Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641
View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663
Haiwezi kuuzwa kwa sababu Mkataba unapitia Bungeni. Ni ubia, na mkataba lazima utakuwa mzuri sanaHuyu asiwaondoeni kwenye Reli.
Bandari Inauzwa Bandari Inauzwa
Hao hao hao Kamata hao, kamata hao, shika hao
Ni mtoto wake wa kuzaa. Nafasi hiyo alipewa na Magufuri naona mama amembakiza tu.Hawez pewa cheo kidogo kama hicho, atakuwa either majina yanafanana au ndugu tu Kwa mbali
Bila kisahau Kawawa na Waziri Kundamba sijui.Nimewaona Nnauye,Magufuli na Chongolo
Daah na mimi ningekumbukwa jamani
Duuuu mbona kama Imani Moja tupu au nmeona Mimi pekeangu?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.
Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.
Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641
View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663