Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawez pewa cheo kidogo kama hicho, atakuwa either majina yanafanana au ndugu tu Kwa mbaliView attachment 2648676
Huyo bi Ruth John (70) ni mtoto wa JPM?
🤣🤣Anajaribu kutuondoa kwenye ujinga waliotufanyia kule bandarini, teuzi za kila wiki sioni maana yake.
Ni mtoto wa Magufuli wa kuzaa na marehemu mkewe yule wa kwanza.Ruth ni katibu Tawala Morogoro, tokea Baba yake akiwa hai.Hawez pewa cheo kidogo kama hicho, atakuwa either majina yanafanana au ndugu tu Kwa mbali
Huwa Kuna tija Gani kuteua na kuhamisha watu namna hii?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.
Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.
Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641
View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663
naona NTELA MWAMPAMBA hapo! mzee wa kudandia wake za watu! songea ukimwi nje nje kila la kheri malaya wewe
Teuzi zote hizi hata mtu mmoja kwenye ukoo wangu hayupo hii nuksi ya aina gani wakurungwaaa..!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa. Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji. Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:View attachment 2648649View attachment 2648650View attachment 2648651View attachment 2648652View attachment 2648653View attachment 2648654View attachment 2648655View attachment 2648660View attachment 2648664View attachment 2648665
Hahahaha utajua hujuiHuko kisarawe ni Wamama watupu kuanzia mkuu wa wilaya, katibu tawala, mkurugenzi, wakuu wa idara.....hata Kama 50/50 sio poa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]