Rais Samia afanya Mabadiliko ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji Serikali za Mitaa

Rais Samia afanya Mabadiliko ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji Serikali za Mitaa

Unapitia majina unagundua viongozi waliopo na waliopita watoto wao wameshakua na sasa wameanza kuwaingiza kwenye systems za Gavoo.
Majina mengi ni very common, kama siyo kwenye siasa basi kwenye majeshi yetu. Hadi watoto wa akina Nnape wameshakua sasa
Ndo hivo
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya mabadiliko ya Makatibu Tawala wa Wilaya na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Serikali za Mitaa.

Katika mabadiliko hayo, Mheshimiwa Rais amefanya uteuzi mpya pamoja na kuwahamisha vituo vya kazi baadhi ya Makatibu Tawala na Wakurugenzi Watendaji.

Mabadiliko hayo ni kama ifuatavyo:
View attachment 2648638View attachment 2648639View attachment 2648640View attachment 2648641

View attachment 2648656View attachment 2648657View attachment 2648658View attachment 2648659View attachment 2648661View attachment 2648662View attachment 2648663
Hizi zinafunguka kwa kutumia nini kwangu haifinguki
 
Hii ngouma ukitazama between lines ni NASABA ya walio wahi kuongoza manake wanaendelea kwa vizazi vyao, kidogo kuna mix lakini kama mtego hili watakao baki ni majina yale yale. Ukizama zaidi ni ngumu sana kupata maajabu katika maendeleo kwa mfumo huu.
Miaka mingine hamsini haitatosha kuleta maendeleo sababu weledi, uzoefu na records za accomplishment sio vigezo vya kupata viongozi na watendaji. Technical know who bado inachukua 80 katika 80:20 rule, tutegemee kuhudumiwa na warasimu, viongozi wasio sikia, wala rushwa, kodi, tozo zisizo na kichwa wala miguu kuendelea tena.
Wangetaka ushauri tungewaambia:
Mfumo wote
wanaotumia kupata watendaji na viongozi umefeli kuleta maendeleo ya haraka, wajifunze taasisi, kampuni yalitafuta skills yamekuwa haraka sana kuliko wao. Ukiangalia Azam, CRDB, NMB na wengine miaka 30 nyuma hawakuwa hawa wa leo, ukiitazama serikali na changamoto zake kwa miaka 30 bado ziko pale pale. Wenyewe hawajui tatizo lakini hili la teuzi ndio tatizo lao kubwa kuliko hayo mengine.
Ndio mana unakuta mkurugenzi anatuma wagambo na madalali wakakamate gari zinazopakia na kushusha mizigo Ubungo, Huku Tanroads wao wanachukua pesa za parking za gari hizo hizo. God Bless hii nchi na tunamuachia mwenyezi aamue kile atakacho ona kinatufaa leo, manake hili jeshi ni kwa ajili ya chaguzi zijazo na matokeo wala hayahitaji ramli.
 
Kwenye majina ya wakurugenzi namba 98 naona mzimu wa moses nauye unazidi weka mizizi haya bwana peaneni tu tutafanyaje sasa nchi yenu hii
 
Huyu asiwaondoeni kwenye Reli.

Bandari Inauzwa Bandari Inauzwa
Hao hao hao Kamata hao, kamata hao, shika hao
 
Magufuli kumbe alimpa mwanae Ruth,ukatibu tawala. Yule aliyekuwa Kisarawe hajarudishwa tu kwenye ukatibu tawala, yule alitolewa na Magufuli kisa alimkula Jocate.
Kamrudisha yuko songea
 
Back
Top Bottom