imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hawa jamaa walikuwa wanamkatia mauno Dikteta sasa wananengua kwa Mama😆Chawa Aliyeshiba Damu Sasa Anakaribia Kupasuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa walikuwa wanamkatia mauno Dikteta sasa wananengua kwa Mama😆Chawa Aliyeshiba Damu Sasa Anakaribia Kupasuka
Wameambiwa Wale Ila WasivimbiweHawa jamaa walikuwa wanamkatia mauno Dikteta sasa wananengua kwa Mama😆
Yaani ufutwe just because una chuki au?Uzi kama huu kwanini usifutwe au mod mnaruhusu habari za uongo humu
Hawaangalii wamekula kiasi gani.Wao wanasubiri wakianza kujamba,kuharisha na kutapika ndiyo wanajua wamevimbiwa.😂😂😂😂Wameambiwa Wale Ila Wasivimbiwe
😁😆😅🤣😂Hawaangalii wamekula kiasi gani.Wao wanasubiri wakianza kujamba,kuharisha na kutapika ndiyo wanajua wamevimbiwa.😂😂😂😂
Mkuu Ulitaka akakatikiwe mauno mama yako au? ,Mimi siwezi acha ipongeza serikali yangu maana ndo inaniweka mjini,sasa wewe Ulitaka nimpongeze yule Mrs Robert Amsterdam au yule Makengeza?Hawa jamaa walikuwa wanamkatia mauno Dikteta sasa wananengua kwa Mama[emoji38]
Watu mna manenoChawa Aliyeshiba Damu Sasa Anakaribia Kupasuka
Mkuu SalamaWatu mna maneno
Mfuto wa kutoa salary slip utakuwa na shida.Mleta uzi yupo sahihi,Kuna mambo mawili yamefanyika.
1. Deni la HESLB limerekebishwa,kwa maana kwamba lililopo kwenye Salary slip kwa Sasa linaendana na Loan statement ya HESLB,shahidi ni Mimi mwenyewe.
2. Wenye mikopo yao benki na taasisi nyingine za kifedha,kiwango Cha marejesho kwa mwezi wa kwanza kimeongezeka Mara mbili bila kuadhiri take home yako. Mfano,Kama Deni lako mwezi December 2021 lilikuwa 600,000/=na Makato/marejesho ya kila mwezi ni 200,000/= ilitakiwa Deni libaki 400,000/= lakini kwa Sasa limebaki 200,000/=. Mpaka Sasa hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa juu ya hili la pili na mamlaka zinazohusika.
Jamani na sisi wa mitaani? Leo huko Musoma uwanja wa Karume nimemsikia Mama akisema ni wafanyakazi wa CCM ndio wameongezwa mshahara kwa 89% hadi 25% kumbe ni ninyi wa mikopo, hongera zenuDuuu,mtoa mada upo sahihi kabisa.
Mwanzoni nilidhani ni mtu mwenye akili kumbe ni yale matikiti maji.Mkuu Ulitaka akakatikiwe mauno mama yako au? ,Mimi siwezi acha ipongeza serikali yangu maana ndo inaniweka mjini,sasa wewe Ulitaka nimpongeze yule Mrs Robert Amsterdam au yule Makengeza?
Ongeza na cement kabisa mkuuMwanzoni nilidhani ni mtu mwenye akili kumbe ni yale matikiti maji.
Pole Sana mkuu!! Unaumia ukiwa katika kitongoji gani ili upatiwe msaada?Rais Samia afanya makubwa![emoji116][emoji205][emoji205][emoji205]
View attachment 2109251