Rais Samia afanya makubwa, wafanyakazi walipiwa mikopo yao

Rais Samia afanya makubwa, wafanyakazi walipiwa mikopo yao

Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!

Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board ..
Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi ..,hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.

Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????

# kazi iendelee!!
Ambao hatujaajiriwa huko serikalini, nani atatulipia mikopo yetu? Au sisi sio Watanzania?
 
Mleta uzi yupo sahihi,Kuna mambo mawili yamefanyika.
1. Deni la HESLB limerekebishwa,kwa maana kwamba lililopo kwenye Salary slip kwa Sasa linaendana na Loan statement ya HESLB,shahidi ni Mimi mwenyewe.
2. Wenye mikopo yao benki na taasisi nyingine za kifedha,kiwango Cha marejesho kwa mwezi wa kwanza kimeongezeka Mara mbili bila kuadhiri take home yako. Mfano,Kama Deni lako mwezi December 2021 lilikuwa 600,000/=na Makato/marejesho ya kila mwezi ni 200,000/= ilitakiwa Deni libaki 400,000/= lakini kwa Sasa limebaki 200,000/=. Mpaka Sasa hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa juu ya hili la pili na mamlaka zinazohusika.
Watulipie madeni yote tunayodaiwa benki ndo tutajua wako serious kumsaidia mtumishi.....
 
Kama take home yako haijabadilika, maana yake loan board pamoja na taasisi zingine wamefanya loan adjustment.

Mfano; ulikuana mkopo wa milion moja na marejesho ni 200,000 kila mwezi kwa miezi 7 na ndani ya yaani mkopo wa sh 1m +400,000 riba(40%). Sasa wakishusha riba kutoka 40 hadi 20. Maana yake rejesho moja litapungua maana utakuwa na 200,000 mara sita na sio saba.

Hivyo effect utayoona kwemye loan balance yako mi kupungua kwa rejesho moja au zaidi kulingana na ukubwa wa mkopo na kiasi riba kilichopunguzwa.

Hayo ni mawazo yangu, sijawahi kusikia duniani serikali inawalipia wafanyakzi wake mkopo.
 
Kama take home yako haijabadilika, maana yake loan board pamoja na taasisi zingine wamefanya loan adjustment.

Mfano; ulikuana mkopo wa milion moja na marejesho ni 200,000 kila mwezi kwa miezi 7 na ndani ya yaani mkopo wa sh 1m +400,000 riba(40%). Sasa wakishusha riba kutoka 40 hadi 20. Maana yake rejesho moja litapungua maana utakuwa na 200,000 mara sita na sio saba.

Hivyo effect utayoona kwemye loan balance yako mi kupungua kwa rejesho moja au zaidi kulingana na ukubwa wa mkopo na kiasi riba kilichopunguzwa.

Hayo ni mawazo yangu, sijawahi kusikia duniani serikali inawalipia wafanyakzi wake mkopo.
Ya mama Samia imeweza mkuu
 
Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!

Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board ..
Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi ..,hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.

Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????

# kazi iendelee!!
Unaitwa mwalimu nani!?
 
Mleta uzi yupo sahihi,Kuna mambo mawili yamefanyika.
1. Deni la HESLB limerekebishwa,kwa maana kwamba lililopo kwenye Salary slip kwa Sasa linaendana na Loan statement ya HESLB,shahidi ni Mimi mwenyewe.
2. Wenye mikopo yao benki na taasisi nyingine za kifedha,kiwango Cha marejesho kwa mwezi wa kwanza kimeongezeka Mara mbili bila kuadhiri take home yako. Mfano,Kama Deni lako mwezi December 2021 lilikuwa 600,000/=na Makato/marejesho ya kila mwezi ni 200,000/= ilitakiwa Deni libaki 400,000/= lakini kwa Sasa limebaki 200,000/=. Mpaka Sasa hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa juu ya hili la pili na mamlaka zinazohusika.
Hivi mkuu nikihitaji HESLB statement yangu naipataje? Ni hadi niende physically ofisini kwao? Nilijaribu kucheki online nikaambiwa within 48 hrs ningetumiwa but sikuona chochote 🤔
 
Mleta uzi yupo sahihi,Kuna mambo mawili yamefanyika.
1. Deni la HESLB limerekebishwa,kwa maana kwamba lililopo kwenye Salary slip kwa Sasa linaendana na Loan statement ya HESLB,shahidi ni Mimi mwenyewe.
2. Wenye mikopo yao benki na taasisi nyingine za kifedha,kiwango Cha marejesho kwa mwezi wa kwanza kimeongezeka Mara mbili bila kuadhiri take home yako. Mfano,Kama Deni lako mwezi December 2021 lilikuwa 600,000/=na Makato/marejesho ya kila mwezi ni 200,000/= ilitakiwa Deni libaki 400,000/= lakini kwa Sasa limebaki 200,000/=. Mpaka Sasa hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa juu ya hili la pili na mamlaka zinazohusika.
Baadhi ya mabenki wameshusha riba za mikopo,huenda hili ndo limefanya muone mabadiriko hayo
 
Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!

Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board ..
Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi ..,hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.

Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????

# kazi iendelee!!

Nimeshangaa kuona cdaiwi, kumbe mama kafanya yake,

Allhamdulilah
 
Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!

Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board ..
Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi ..,hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.

Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????

# kazi iendelee!!
Chawa wa mama...
Mama kalipa mpaka mikopo ya NMB na CRDB?

#YNWA
 
Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!

Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board ..
Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi ..,hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.

Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????

# kazi iendelee!!
SIO KWELI 100%. Mwaka jana wakati wa sikukuu ya wafanyakazi(May Day) alisema hali ya uchumi ni mbaya.Mpaka leo wafanyakazi wa mashirika ya umma wana miaka zaidi ya 6 hawajaongezwa hata senti tano.Labda kaongeza mishahara kwa wafanyakazi wa Ikulu na wale wa ToT. Wale wa mashirika ya umma ni vilio tu.
 
Back
Top Bottom