Ndipo unapokuja usemi wa "unapokula na kipofu angalia usimguse mkono"Mleta uzi yupo sahihi,Kuna mambo mawili yamefanyika.
Mpaka Sasa hakuna ufafanuzi wowote uliotolewa juu ya hili la pili na mamlaka zinazohusika.
Kama hili ndio limefanyika basi tuna shida kubwa kuliko tulivyodhani.Kwahio nani anachukua mzigo wa ku-cover hizo 200k; Benki, Rais anatoa kwenye mshahara wake au Kodi na Tozo zetu ndio zinaenda kulipia mikopo ya watu ?
Huoni kama ni kuweka kitu sustainable ni bora kushusha interest rates kwa kila mtu na sio sarakasi ambazo hazina ufafanuzi
Tulia ndugu Mtanganyika. Usiumie sanaKwamba anachukua kodi zetu kuwalipia mikopo yenu binafsi? Au mna maana gani?
Ufafanuzi ni kwamba. Mwezi ujao madeni yanarudishwa kama ilivyo kuwa.Hiki jambo ni kweli kabisa, shida ni kwamba hadi sekunde hii hakuna ufafanuzi wowote juu ya hili suala
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu, ngoja tusubiri tuoneUfafanuzi ni kwamba. Mwezi ujao madeni yanarudishwa kama ilivyo kuwa.
Kwamba anachukua kodi zetu kuwalipia mikopo yenu binafsi? Au mna maana gani?
Mkuu Wewe huoni ajabu??Kwahio kipi cha ajabu hapo mzee
Weka picha basi tuone unavyokata mauno, maneno mengi yaninMkuu Ulitaka akakatikiwe mauno mama yako au? ,Mimi siwezi acha ipongeza serikali yangu maana ndo inaniweka mjini,sasa wewe Ulitaka nimpongeze yule Mrs Robert Amsterdam au yule Makengeza?
Acheni roho mbaya, tumemyimwa increment na madaraja Kwa miaka mitano, ukiiuliza tunajenga nchi...sasa mama kaondoa dhuluma ya retention fee, kayashawishi mabenki kupunguza interest ndo ukaona madeni yamepungua....mnaanza kuweka vijiba.Halafu mama anasema pesa ya kununua nguzo hakuna, wananchi wabebe bebe mzigo. Ila mbinu ya kuwatua watu mizigo waliyojitwisha kwa hiari yao ipo. Dah!!!
Never Going to Happen. Tatizo hamtumii Akili TimamuHakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!
Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board.
Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi, hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.
Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????
# kazi iendelee!!
Nadhani umesahau kwamba This is Africa. Anything can happen, bila kujali mikataba na katiba.Never Going to Happen. Tatizo hamtumii Akili Timamu
Hakika Nani Kama mama,hakika anaupiga mwingi! ,Pongezi kwako mama wetu mpedwa!! Mungu akupe na kukujalia kila lililo la kheri.!!
Ni hivi kwa wale watumishi wa umma,hebu chungulieni salary slip zenu hakika mtaona Kuna tofauti kubwa sana imefanywa na huyu rais wa watu ,yaani Kama una mkopo Bank Au Loan Board.
Chukua kiasi cha mkopo wa mwezi 12/2021 toa kiasi cha mkopo mwezi 1/2022. Utagundua kuwa umelipiwa Mara Mbili ya kiasi ambacho huwa unalipa kila Mwezi, hapa Ni kwamba Kama mkopo wako ulitarajia utaisha mwezi wa pili ,basi mwezi huu umeshalipiwa ,hivyo hudaiwi.
Sisi wafanyakazi wako tunaahidi kumuunga kwa kila unalolifanya ,Samia Safi!!!,Nani Kama mama????
# kazi iendelee!!
Hebu fikiria kila kijiji, kila nyumba tanzania nzima ina umeme na maji safi, salama ya bomba yanatoka. Na mpaka vijiji vimeunganishwa kwa lami, wilaya kwa four lane high way. Mikoa imeunganishwa kwa double roads. Hivi......wanasiasa wetu kwenye kampeni wangeongelea nini???!!.Acheni roho mbaya, tumemyimwa increment na madaraja Kwa miaka mitano, ukiiuliza tunajenga nchi...sasa mama kaondoa dhuluma ya retention fee, kayashawishi mabenki kupunguza interest ndo ukaona madeni yamepungua....mnaanza kuweka vijiba.
Watanzania tuna roho za Kwa nini sana.