Rais Samia afanya uteuzi, Kafulila awa Kamishna wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP)

Unaona leo hili au unajisahaulisha kipindi cha Magu
Magu alikuwa ataki sofa alikuwa ana takamtu ana challenge Kwa hoja ana mpanafas akawakilishe zile hoja zake mfano ,mkuu wa wilaya ya luangwa alikuwa clouds pia Bashe kumpa unaibu wazili kilimo kutokana na hojazake bungeni nk
 
Ila hii nchi haiko siriasi kwakweli...mpaka unajiuliza Hawa watu wamesoma kweli kwa Mambo ya aibu wanayofanya halafu huu ujinga wa kuteua na kutengua hivyo JIWE ndo aliasisi.
 
Ni zamu ya kupigwa Mawe mfululizo maana mwenzao ametoboa baada ya msoto wa muda( sema mjitahidi kutunza heshima za mtakaowashambulia coin iko na pande 2). TUMBO LINATUPA USUMBUFU MKUBWA SANA.
 
Jamani shule ya kusifia bila kuona Aibu hapa Tanzania inapatikana wqpi?

Kuhusu watu wa Kigoma nafikiri ni inborn wakiongozwa na Mwijaku na Baba Levo
 
Ukilala kikawaida
Ukaamka kikawaida
Ukala kikawaida
Ukateuwa wakawaida
Tegemea matokeo yakawaida.
 
Kafulila ana kipawa na Maarifa hongera sana kwa mamlaka ya uteuzi
 
Na anaenda na Kafulila Davos kwenye Mkutano wa Jukwaa la Uchumi.
 
Matusi mliyomtukana hajmkujali......persistence inalipa🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…