Mkuu, 'Erythro', hebu sema tena?Cheo chenyewe wala hakieleweki yaani
Mtaani kugumu sana hali tete. Shika sana ulicho nachoHizi teua tumbua zinazoendelea zitatuletea matatizo. Maana machawa na waimba mapambio wataongezeka sasa ili wateuliwe na walio madarakani wasitumbuliwe.
Kina Ally Hapi wataibuka sasa hivi kusifia hata visivyosifiwa vya mama ili waonekane na wao.
Na wale walio na nafasi zao bado watasifia mpaka jinsi mama anavyotembea ili tu wasitumbuliwe.
Chambu sana Mkuu usiwasikilize watu wanasema nini.....keep goingNasemaje kuanzia kesho nachambua mambo ya uchumi
Kujikomba katika sioasa za Bongo kunalipa
Nyie mko bize kusifia gaidi badala ya kusifia Rais ,ona sasa mnaozea kwenye korido za ufipa. Mwacheni chawa David Kafulila ale maisha
ππππ Kwani lini uliona humu jukwaani nimeweka barua za kuomba uteuziLucas mwashambwa mbona teuzi zinakupita?