Rais Samia afanya uteuzi. Katibu Mkuu Kiongozi ahamisha Vigogo 5 TANESCO

 
M/kiti wa bodi Ya Tanesco Ni Muislam
DG Wa Tanesco pia ni Muislam
DG Wa Rea Ni Muislam Pia

Ts Islamic State

Bakwata Wanaupiga Mwingi Sana
Yeah waache waupige mwingi.

Na bado, mbwa mmoja wewe
 
Ofisi Nzima Pale Ikulu Wamejaa Waislamu Tu
Rais _ Muislam
CS - Muislam
Km Ofsi Ya Rais Ikulu ni Muslam
Chief of Protocol ni Muislam
Wasaidizi wa Rais 8 pale Ikulu 6 ni waislam na 2 ndio Wakristo
Kwahiyo ndio unataka kusemaje??

Utaumia sana safari hii na mama wala hashughulishwi na mikelele yenu
 
Mkuu tupo pamoja......huyo ndio Rais Samia...zingine zote kelele tu...huu ndio mwingi anaoupiga sasa..
Yeah na tutaendelea kumshangilia.

Ikizidi kuuma sema usikae kimya. Ni hatari kwa afya yako
 
Kudadeki...


Mbona Majina yamekee kama Dini Moja hivi? Au mawazo yangu tuu?

Hapo ni Makamba tu ameamua asafishe nyumba ajimwaemwae na mikataba.

Dada mwanvita kule South atashaini hatari
Vijukuu vya mtum.......zamu yao sasa
 
Mtasema sanaaaaaaa na usiku mtalala
 
 
Shenzi sana hawa makafiri hawa
 

Tena wewe watakula kichwa
 
mwacheni aucheze atakavyo,maana muda uliobaki ni mfupi kabla ya kutoka mjengoni!!fursa huja Mara moja!!
 
Kudadeki...


Mbona Majina yamekee kama Dini Moja hivi? Au mawazo yangu tuu?

Hapo ni Makamba tu ameamua asafishe nyumba ajimwaemwae na mikataba.

Dada mwanvita kule South atashaini hatari
Vijukuu vya mtum.......zamu yao sasa
Usisingizie ukaskazini magufuli alikuwa na favoratism sana na kubeba wakanda yake sasa wanawekwa wengine mnalia lia tu nakulalamika as usual, huyo Waziri alikuwa wa kanda gani, igp, mkuu wa majeshi, mkurugenzi wa TRC, wakurugenzi wa wilaya je?
Acha urongo weye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…