Wanasemaga dugu moya.Pengine MwanaFA na mama Samia kuna mahali wako dugu moja!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaga dugu moya.Pengine MwanaFA na mama Samia kuna mahali wako dugu moja!
Na comedian Zelensky Rais wa Ukraine anayepambana na jasusi Putin.Anord shwerzniga alikuwa gavana wa california
wivu ni kidonda shida ya watanzania mnapenda watu wote wakose mfanane , Roho ya kishirikina hiiJhUteuzi wa mediocre personalities sasa umezidi!
Sina la kuongeza ila mama umeingia kwenye mtego wa maono wananchi tusiyoyajua.
Waambie hao, Watoto 2000 hawajui Dunia inavyokwenda!!Anord shwerzniga alikuwa gavana wa california
Anamjua sana. Hakuna mtu anayefuatilia haya mambo ya hovyo vya mtandaoni kama huyu mama. Wasanii, wauza sura wote etc ni mashujaa wa huyu mama.Nina hakika 100% Samia hamjui Mwana FA .
Yaan jina aloletewa, siku anamuapisha ndio atamjua, alaaah kumbe nmemchagua Mwana FA🤣🤣
Wanaingia damu mpya watu wanaleta manenoNa comedian Zelensky Rais wa Ukraine anayepambana na jasusi Putin.
Huyu mwanafa mwenye masters feki.Uteuzi wa mediocre personalities sasa umezidi!
Sina la kuongeza ila mama umeingia kwenye mtego wa maono wananchi tusiyoyajua.
Acha uongo! Kama hujui kitu kaa kimya! Hajasoma Tanga TechHamis kwa taarifa yako ni kijana msomi kapita Tanga Technical mbali ya kuwa msanii ni kiongozi mwenye kujielewa na atawasaidia sana wasanii hapo wizara ya utamaduni yani uteuzi wake hawajakosea kabisaa.
Weka ushahidi kama kweli Mwana ni teja!!Zelensky nae ni teja kama mwana FA.
Mwana FA ni teja
Wanataka wizara ya sanaa apelekwe balozi mulamula 😃Waambie hao, Watoto 2000 hawajui Dunia inavyokwenda!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Tuna set very low standards kwa calibre ya uongozi wa juu karne hii.
Magufuli alipoteua Jokate mmesahau?Bangi itaanza kuvutwa wizarani sasa
Bado babu tale.
Mama amepuyanga
Kweli mwanamke nimmwanamke tu
Mkuu watanzania huwa tunashangaza. Hatujui hasa tatizo letu ni nini. Na tukiambiwa mara kesho tumelisahau. Bila wananchi wote kuzinduka na kuliondoa tatizo hakuna namna. Nchi inazidi kudidimia.Very interesting!
Hivi mteuzi anayo 'background' gani ya kutaka kumtegemea awe tofauti na anayofanya?
Mbona tunajisahaulisha haraka kiasi hiki? Mara hii tunamwona na kumtegemea mteuzi awe ni tofauti sana na hao anaowateua?
Alifeli au alifaulu?Hakupita Law School. Alifanya mtihani wa Bar. (Bar Exam) mtihani maalum wa zamani kwa ajili ya kupata uwakili.
wewe unaekataa tuambie kasoma wapi O-level na ukitaka ushahidi nakupa.Acha uongo! Kama hujui kitu kaa kimya! Hajasoma Tanga Tech
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Jokate ni DC bora na mchapakaziMagufuli alipoteua Jokate mmesahau?
Hiyo Bangi unamuuzia wwe!!??Shida sio elimu yake shida ni bangi anazovuta adharani
sidhani kama anaweza kutenda hakiNimefanya nae kazi ninamjua vyema...uchaguzi wa 2015 ilibidi CCM wapambane kwa wakurugenzi...mcha Mungu asiye na mawaa, uchaguzi ule angekua ni Mahera Lowassa asingepata hata kura laki 5.
Samia kuna maeneo amedhamiria kuleta haki....