johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
πππGekul ni Manyara
Tutakoma,yaani.Hatimae wafugaji sasa tumewekwa chini ya wakulima wa nazi na maparachichi duh!!!
God have mercy on us.
Rizi ni kwamba anabebwa tu, ametolewa kwenye Maziwa na asali kwenda kula viporo tuFA anazidi kutusua tyuuh hongera zake.
Riziwani anabadilishwa badilishwa ili akipewaa uwaziri apewe ule wenye hadhi.
Duuuh mama ni panga pangua, hadi 2025 tuko hoi.
Hongera wateulee.as
Hebu weka orodha ya mawaziri na wanakotoka tuoneYaani mawaziri ni Tanga, Pwani, Zanzibar. Mikoa mingine mmoja mmoja sana.
Mara haina waziri, Simiyu haina waziri. Shinyanga sijui kama yupo, Geita sijui kama yupo.
Hakuna kutusua hapo,ikitokea,Samia akadondoka,atatimuliwa kama kabudi,au lukuvi.FA anazidi kutusua tyuuh.
Hongera zake sanaaaa
Kwa nini unasema anabebwa,Hana elimu au uwezo!?..thibitishaRizi ni kwamba anabebwa ty, ametolewa kwenye Maziwa na asali kwenda kula viporo tu
Ulege ni wa wapi?Yaani mawaziri ni Tanga, Pwani, Zanzibar. Mikoa mingine mmoja mmoja sana.
Mara haina waziri, Simiyu haina waziri. Shinyanga sijui kama yupo, Geita sijui kama yupo.
Uwezo mdogo sanaKwa nini unasema anabebwa,Hana elimu au uwezo!?..thibitisha
Wameamua kutupoteza ila hawataweza, bila mifugo nchi hii mikoa mingi ingekuwa na umaskini wa kutisha.Tutakoma,yaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Rizi anabadilishwa badilishwa kupima upepo, tutakuja kushangazwaaaa very soon.Rizi ni kwamba anabebwa ty, ametolewa kwenye Maziwa na asali kwenda kula viporo tu
Mwana FA?Angalau mwanafunzi wangu kaukwaa uwaziri!