Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

Kazi za waziri ni mwakilishi wa rais katika wizara hio kwa upande wa sera na siasa.

Wizara utatetereka au kuimarika kupitia Katibu Mkuu na makatibu wengine na wataalamu husika wa hio wizara, kwa hiyo basi tusitegemee mabadiliko positive au negative kwa mabadiliko ya waziri au naibu waziri.
 
Back
Top Bottom