Aisee zilianzishwa uzi kama zote za kumchafua mashimba humu ndani,naibu kacheza fitina pia mrengo wake wa dini umemsaidiaMashimba amefanyiwa fitina za muda mrefu na naibu wake
Dah
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Siku zake zinahesabika hata yeye analijua hiloBiteko ni kanda ya kaskazini
watu huwa wanajisemea tu bila ya utafitiGekul ni Manyara
nani alikwambia mawaziri huteuliwa kutoka mikoa yao?Yaani mawaziri ni Tanga, Pwani, Zanzibar. Mikoa mingine mmoja mmoja sana.
Mara haina waziri, Simiyu haina waziri. Shinyanga sijui kama yupo, Geita sijui kama yupo.
Mnamuonea bure tu, tatizo ni katiba yetu iliyopo.Mkuu nilisoma mara tatu kujua kama kweli mteuliwa ni huyu huyu mchafuzi wa Uchaguzi. Hakika kuwa Kiongozi Tanzania ni rahisi sana kwa kigezo chochote kile. More importantly uwe mwana CCM mtiifu.
Ipo siku🤣🤣🤣 siku hizi anaweka namba ya sim,Lucas Mwashambwa kaambuli patupu pamoja na kukata viuno kote 🤣
Kupanga na kupangua apange mwingine then wewe ndiyo uchoke?Tumechoshwa na panga pangua ya kila siku, tunahitaji katiba mpya tuokoe na genge la mafisadi
Duh aiseeMnamuonea bure tu, tatizo ni katiba yetu iliyopo.
NYOOOOOSilinde katuhumiwa na nani?!
Kuwa mwanaume, acha taarabu. Wewe kila kukicha umekalia Mgaufuli..Magufuli...Magufuli, hata kwenye mada ambazo hatakiwi kuwekwa ni lazima umtaje tu.Bora hivyo kuliko kuwa tapeli kama Magufuli aliyekuwa anafungua miradi na viwanda vilivyokuwepo , ili kusaka kiki za siasa za bei rahisi.
Ulitakiwa unihoji kwann niliandika vile, wee ukakurupuka eti jamaa ana uwezo. Kwan nlisema hana uwezo??Kwa mujibu wa maandishi yako mkuu.
Labda ulikusudia kufikisha ujumbe tofauti.
Dotto Biteko Geita na Katambi Pascal ShinyangaYaani mawaziri ni Tanga, Pwani, Zanzibar. Mikoa mingine mmoja mmoja sana.
Mara haina waziri, Simiyu haina waziri. Shinyanga sijui kama yupo, Geita sijui kama yupo.
Mpambanaji asotumia akili,mzee wa kukurupuka,😅Mkuu wa Mkoa wa Tanga katenguliwa??
What happened kwa huyu jamaa, mbona alikua anaonekana ni mpambanaji sana
Alikuwa hafiti Ardhi,Ardhi unahitaji mtu very aggressive na anayejua masuala ya Ardhi in general,pale maza alikosea kumweka,kaona gap karekebiaha tatizoHidden future issue...
Ridhiwan Jakaya, keep and note my reply kama anaenda kufichwa kwanza!.
Kama hana shida basi atumie uchapakazi wake akajiajiriYaani watu wa JPM wanaondolewa tu wakae pembeni, sasa mzee Ndaki ana shida gani?