Atlantic Star
JF-Expert Member
- Feb 22, 2023
- 539
- 1,696
hivi katika teuzi hizo waziri mkuu ana nafasi kupendekeza mtu anayeweza kufanya nae kazi kwa ufanisi au ni baraza la usalama pekee tu ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang wanazidi kuchimbiwa kaburi.
Vipi Bwana Kailima ?Sina imani na Mahera.
Huyu Ramadhan Kailima aliyechukua nafasi yake ana ubora upi akilinganishwa na Jambazi Mahera ?At least kamuondoa hapo kwenye Uchaguzi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama matokeo ya nacte vile
Sijui, au nimesema anayekuja ni Bora zaidi??Huyu Ramadhan Kailima aliyechukua nafasi yake ana ubora upi akilinganishwa na Jambazi Mahera ?
Mwigulu yule ni profession finance minister, yuko pale hadi 2040. Biteco nae madini hatoki. Bashungwa sasa ndo usiseme, hadi 2050.Ila kwa nafasi ya kibubu hagusi pamoja na mafyekele yote yanayosemwa
Kaenda kusoma America🤷🏾♂️Babutale mmetia kitumbua chake mchanga. Ndio matatizo tuliokimbia umande..lol
Kuongoza watumishi wote,usalama,pccb ni kula kiporo mkuuRizi ni kwamba anabebwa tu, ametolewa kwenye Maziwa na asali kwenda kula viporo tu
Kwa bongo hii hio hakuna,yeye analetewa tuhivi katika teuzi hizo waziri mkuu ana nafasi kupendekeza mtu anayeweza kufanya nae kazi kwa ufanisi au ni baraza la usalama pekee tu ??
Uwezo mdogo kivipi?Uwwzo mdogo sana
Uwezo mdogo kivipi uongozi sio kubeba magogo mzee acha maneno ya vijiweniUwwzo mdogo sana
Big brain[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Rizi anabadilishwa badilishwa kupima upepo, tutakuja kushangazwaaaa very soon.
Amepelekwa kwenda kujenga connection na wenye inchiYule mkuu wa mkoa wa Tanga juzi alijitia kuwasimamisha kazi wenzie,nae leo kaliwa kichwa.
Ridhiwani kaenda wizara ya kusoma newspapers tu.
Chadema ofcourseSilinde katuhumiwa na nani?!
Wachaga hawana habari za kusubiri teuzi,kusubiri teuzi ni uvivu huoHahaha Wasukuma kama Wachaga tu sijaona Mchaga hata mmoja popote, angalau Wasukuma bado bado masalia yapo, ila Wachaga duh labda tusubiri Kimei kwa maana ana bidii sana huenda next time watamkumbuka, …
Nimefanya nae kazi ninamjua vyema...uchaguzi wa 2015 ilibidi CCM wapambane kwa wakurugenzi...mcha Mungu asiye na mawaa, uchaguzi ule angekua ni Mahera Lowassa asingepata hata kura laki 5.Never!