Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

Hahaha Wasukuma kama Wachaga tu sijaona Mchaga hata mmoja popote, angalau Wasukuma bado bado masalia yapo, ila Wachaga duh labda tusubiri Kimei kwa maana ana bidii sana huenda next time watamkumbuka, …
Wachaga hawana habari za kusubiri teuzi,kusubiri teuzi ni uvivu huo
Watu wanapiga maisha kwenye angle zingine na wana make tu 😊😀

Wasukuma nao wamekua wahanga kama wachaga tu.huyu mama anawachomoa mmoja mmoja tu
 
Back
Top Bottom