Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuranga si yule wa maliasili?Mkuranga
Prince amekamilisha azima yake sasa amesogezwa kupikwa apakuliwe 2030
Hivi wateuliwa wanafanya kazi saa ngapi? Maana ni full danadana leo kule kesho huku
Mawaziri karibu wote ni ukanda wa pwani tu?
Kanda ya ziwa alikua mashimba nae amefyekelewa mbali
Wewe ndo unajidanganya,kazi pale ardhi hazimaliziki. Yeye lengo lake lilikuwa na awe waziri kamili wizara hiyo.Mnajidanganya sana, kazi aliyopelekewa pale ardhi keshaimaliza sasa kahamishiwa kwingine, …
Mabula wa Mwanza,mbunge wa bariadi magharibi nani?Mabula na yule mbunge wa bariadi magharibi
Kilaza atapewa jukumu gani?ashukuru anabebwa na jina la baba 🙅Wewe ndo unajidanganya,kazi pale ardhi hazimaliziki. Yeye lengo lake lilikuwa na awe waziri kamili wizara hiyo.
Usisingizie kanda ya ziwa semea mkoa utokaoMabula na yule mbunge wa bariadi magharibi
Mwaka 2025 kama Watanzania wanajitambua atapanguliwa yeye,na kama uchaguzi utafanyika Kwa katiba hii hii baaaaaaasi.FA anazidi kutusua tyuuh hongera zake.
Riziwani anabadilishwa badilishwa ili akipewaa uwaziri apewe ule wenye hadhi.
Duuuh mama ni panga pangua, hadi 2025 tuko hoi.
Hongera wateulee.
Asante kwa kujaHongera sana Mwana Fa.
Siyo kilaza,kama alifanikiwa kumaliza degree ya sheria pale UDSM.Si kilaza huyu.Sema tu uongozi wake hauna faida kwa jamii,kama aliamua kuuza ganda, maana yake hana nia nzuri na jamii.Kilaza atapewa jukumu gani?ashukuru anabebwa na jina la baba 🙅
Zipi fitna hizo alifanya weka hapaMashimba amefanyiwa fitina za muda mrefu na naibu wake
Dah
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Atakuwa aliifanya wizara shamba la bibiRizi ni kwamba anabebwa tu, ametolewa kwenye Maziwa na asali kwenda kula viporo tu