Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

Rais Samia afanya uteuzi mpya na mabadiliko ya viongozi, MwanaFA ateuliwa kuwa Naibu Waziri

Ccm Utasikia Vijana Ninyi Mkajiari Acheni Uvivu Sawa
Bado Wazee Wanahama Na V8 Tu Yaani Twafaa
 
Prince amekamilisha azma yake sasa amesogezwa kupikwa ili apakuliwe 2030
 
Hii Dunia haipo fair yaan Mwana FA anamzidi maono kaka etu ndugu yetu mwanajukwaa nguli paschal Mayalla
Ni muda Sasa wa brother kupewa nafasi.....sijawai kuona potentiality ya Mwana FA Zaid ya kwenye sanaa ya mziki.....

Ila kaka paschal tuponae humu tunamsoma humu......
 
Hii comment imenichekesha ila cha kushangaza haina option ya kureply sijui ina siri gani ndani yake
👇
Screenshot_20230226_151810_Samsung Internet.jpg
 
Back
Top Bottom